Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Tumeshamaliza Mechi 😁😁😁...

Bado amjasema mpaka kielewekee

#HapaniHabariSahihiTu
#MpiraWaAfrika...
 

Attachments

  • 1726753625831.jpg
    1726753625831.jpg
    233 KB · Views: 5
Tumeshamaliza Mechi 😁😁😁...

#HapaniHabariSahihiTu
#MpiraWaAfrika...
 

Attachments

  • 1726753625831.jpg
    1726753625831.jpg
    233 KB · Views: 6
Wanasimba wenzangu kesho kwenye mkutano mkuu msisahau mabango ya kushinikiza Uongozi wa Klabu kujenha kiwanha.
20000 Seater Stadium kwetu inatosha na Klabu inao uwezo wa kujenga.
 
Chondechonde kesho kila mwanasimba ajiandae kwa hili.
Mkifika kesho mtanikuta getini mabango nimeshayaandaa tayari.
 
Alafu huyu kocha lwa nini hamchezeshi valentino mashaka? Simuelewi mjue
 
Alicheza mechi ya kwanza na ya pili akafunga goli mbili na mechi na Azam kama alicheza pia
 
Kundi A- Shirikisho.

1. SIMBA (Tanzania)

2.CS Sfaxien (Tunisia)

3.CS Constantine (Algeria)

4.FC Bravos do Maquis (Angola)
 
Back
Top Bottom