Who told you kuwa sisi tunashangilia wahindi bra gudlack, and after all kuna tatizo gani kwenye hilo? Anzisha mradi wako na wewe utushawishi tushangilie!! wabongo bana ndo maana hatusongi mbele pere pere nyingi vitendo zeroSimba + Yanga = MRADI WA WAHINDI sioni chakushangilia hapo
huyu bra hana hata timu yeye anafikiri Simba na Yanga ni viwanda vya kuzalisha sabuni na kufua vyuma vinavyomilikiwa na wahindiKivipi sasa?
then wewe timu gani?...egypt au algeria?
Who told you kuwa sisi tunashangilia wahindi bra gudlack, and after all kuna tatizo gani kwenye hilo? Anzisha mradi wako na wewe utushawishi tushangilie!! wabongo bana ndo maana hatusongi mbele pere pere nyingi vitendo zero
Wachezaji wa timu ya Simba wameendelea kukonga nyoyo za mashabiki wake kwa kuendeleza wimbi lake la ushindi wa mfululizo baada ya kuihukumu Prisons ya Mbeya tatu, na kuwaruhusu wahukumiwa hao kupata kamoja tu kwa kukimbia kiwanjani.
Magoli ya Simba yalifungwa na Mussa Hassan 'Mgosi' aliyefunga mabao mawili na Nico Nyagawa aliyefunga moja wakati lile la kufutia machozi la Prisons lilifungwa na mchezaji Misango Magae na hivyo, badi mwisho wa mechi, Simba 3 Prison 1. Timu hizo zilikipiga katika uwanja wa Uhuru. Timu ya Simba SC ilimaliza mzunguko wa kwanza wa ligi kuu ya soka Tanzania kwa kuweka rekodi ya kutokufungwa mechi yoyote. Katika mzunguko wa pili, Simba imegeuza upande wa pili wa wembe na kuendelea kunyoa vipara kila timu wanayokutana nayo.
Ingewezekana, Liverpool FC, ingekopa tuushindi tudogo tokakwa Simba walao tuwasaidie kuepa hili balaa la kichapo wanachosiribwa 'left and right' katika msimu huu wa soka la Uingereza. mwe!
Heko Simba Sports Club!
hii inadhirisha maneno ya mwanangu mziray
hakuna ligi;ligi gani aiina ushindani ushindi mechi 11
asingekuwpo yanga si ingekuwa ligi ya aibuzaidi
Tunapaswa kuiunga mkono kwa hari na mali..ukipata kido ichangie tumaneno Simba kwenda 15556 na kama unamapenzi ya dhati na wkundu wa simbazi kuwa mwanachama ingawa wanacherewesha..ukiona mafanikio ujue pesa imetumika hivyo kuwa mmoja wa walioleta mafanikio..yeah!! tukipata time tunaenda uwanjani kuipa timu sapoti angalau one day inaleta morali sana kwa wachezaji wetu
Tunapaswa kuiunga mkono kwa hari na mali..ukipata kido ichangie tumaneno Simba kwenda 15556 na kama unamapenzi ya dhati na wkundu wa simbazi kuwa mwanachama ingawa wanacherewesha..ukiona mafanikio ujue pesa imetumika hivyo kuwa mmoja wa walioleta mafanikio..
[FONT=Lucida Console said:Simba sports club inatisha wazeiya yaani ishu ni kupeana sapoti kama kawaida ili chama liendelee kuwa juu kama Mount Kilimanjaro. Halafu ikiwezekana ile ahadi waiyoiahidi Ivory Coast itabidi tuichukue sisi yaani tukichukua tu ubingwa tunapaa na kombe letu up to Mount Kilimanjaro[/FONT].!!!!!!!!!
Ikulu ya kazi gani mkuu, si unajua mzee wa kivukoni si mtu wetu?kweli inabidi tuongee na mkulu kama vipi hata sisi tukapige dinner ikulu kabla ya kuukwea mlima.
Ikulu ya kazi gani mkuu, si unajua mzee wa kivukoni si mtu wetu?
Hivi mtu usipokua shabiki wa Simba kuna timu nyingine ya kushabikia? π
Wadau wa Msimbazi tujiandae kwa game ya Mwanza, nayo ni ngumu lakini kushinda ni muhimu sana[/QUOTE
Ushindi utapatika inshallah..tumeshafika Mwanza salama jana..leo tumewatembelea wachezaji..morali iko juu na wachezaji wametulia and wako tayari kukipiga jumapili...tusubiri watoto watupe raha...
Vipi matokeo mkuu tunaomba update pls
Matokeo ilikuwa Yebo Yebo 3 - 0 Maji MajiLete matokeo ya Yebo yebi tafadhali. Mushi upo?