Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Wadau wa Msimbazi tujiandae kwa game ya Mwanza, nayo ni ngumu lakini kushinda ni muhimu sana
.....mechi ya leo ni muhomu kujengea heshima kwa sababu TOTO[yanga watoto au tawi la yanga mwanza]...walitusumbuwa mwaka jana hapo kirumba.....sijui wamezika mamba pale ndani!!...lakini Mungu ni mshindi!!...tutawapiga kama misri alivyompiga algeria!!!
wadau wa mwanza jiandaeni kuturushia updates..wengine tupo safarini nje ...ya nchi....tunategemea internet...!!