hapa wa COngo watasema simba wangetuachia tu, kwa kiwango cha waarabu TP mazembe wangepeta sana tuuuu
 
simba kapigwa cha pili. Na mpira umekwishaaaa!!!!. Simba chaliiii. Amekwisha tolewa kwenye michuano hii.
 
Haa ha ha ha..

Mkatafute tena ushindi wa nje ya uwanja, what a shame?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…