Simba wanapata pigo Haruna Shamte anamkata mchezaji wa DCMP na kupewa kadi ya njano anamfuata refa na kutukana anapewa kadi NYEKUNDU, kosa la kipumbafu kabisa. Simba itabidi wacheze pungufu ya mchezaji mmoja kwa dakika kama 20 zilizobaki.
Ni hatari!!!!!!!
 
Simba wanapumulia machine mshambuliaji wa DCMP anaangushwa ndani ya kumi na nane refa anapeta ile ilikuwa penalti ya wazi
 
Duh Simba wanakosa bao pale imepigwa ndefu kipa ikamparaza ikawa inaelekea golini na kipa kwa ustadi mkubwa anageuka haraka na kuokoa kwenye mstari kwa tick tack
 
mpira kwisha, simba 1-0 motema pembe. Huko kwao cjui itakuwaje. Goli moja ni mali ugenini lkn c nyumbani.
 
full time simba 1-0 dcmp, kazi ipo mechi ya marudiano kule kinshasa wiki mbili zijazo.

simba imara....simba imara .......yanga makopo ....yanga makopo......................

Hongera mnyama ...tumeweka heshima ....hiyo mechi ya marudiano ni kujipanga tu.....napendekeza tumuongeze julio kwenye benchi la ufundi kwa marudiano ...ni mzuri mno kwenye kujenga morali....hongera kocha baselle!!
 
Ni Mashindano ya CAF Confederation Cup mshindi wa mechi hizi kwa mfumo wa nyumbani na ugenini anakula 350m kwa maandalizi ya ligi ya timu nane katika makundi mawili mawili ya timu 4, Simba wana nafasi finyu mechi ijayo inabidi wakaze buti kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…