NG'OTIMBEBEDZU
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 1,180
- 595
Mh! kama kuna kaukweli flani.
Hakuna ukweli wowote labda yeye ndo kalewa mataptap ya ushindi wa "friend mechi";Simba imeshinda sana bila Kaseja na hata ukienda kuangalia ile trophy cabinet ilivyojaa,Kaseja alikuwepo?