Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Simba 5-Waarabu 1,amakweli mnyama anatisha!
 
jamani mimi ni mwanasimba damu kabisa
ebu nipeni matokeo ya mnyama na mwarabu:help:
 
jamani mimi ni mwanasimba damu kabisa
ebu nipeni matokeo ya mnyama na mwarabu:help:
 
Swali kwa kandambili??..........maana ya kandambili ni nini na jina hili limeanzia wapi?? Nikipata majibu hayo pengine nitaelewa wenzetu waliofurahia kipigo chetu!!!!
 
Simba 5 waarabu 1

Mii ni mpenzi wa simba na nasikitika tumechapwa goli hamsa... yes hatuna exkyuz yoyte labda wachezaji wakija waseme walifungwa kwasababu wambura alifungua kesi au babali sorry dalali alienguliwa

THE BEST TEAM WON ADN WE HAVE LEVELS DUNIANI NDIO MAANA SISI VIBONDE WETU YANGA NA NI VIBONDE WA WAARABU
 
Mii ni mpenzi wa simba na nasikitika tumechapwa goli hamsa... yes hatuna exkyuz yoyte labda wachezaji wakija waseme walifungwa kwasababu wambura alifungua kesi au babali sorry dalali alienguliwa

THE BEST TEAM WON ADN WE HAVE LEVELS DUNIANI NDIO MAANA SISI VIBONDE WETU YANGA NA NI VIBONDE WA WAARABU

Chukua tano. Wao tuliwafunga kwa hiyo kama wangekuwa wao wangefungwa double, au siyo
 
Hivi nani wale walipigwa nje ndani na Wazee wa Kutomboka, mapedeshee wa Lubumbashi?
 
POLENI simba ,update nani mwenyekiti?
 
Hivi nani wale walipigwa nje ndani na Wazee wa Kutomboka, mapedeshee wa Lubumbashi?
Hivi ni timu gani ya TZ katika historia ya mashindano ya kimataifa iliyowahi kubugizwa magoli mengi sana kuliko timu nyingine ye yote ya hapa TZ kwenye uwanja wetu wa nyumbani? Mimi naikumbuka timu fulani inaitwa Mufurila Wanderers iliifunga hiyo timu yetu (wewe Mkorintho unaijua) goli 4 kwa ubuyu.
 
Kuna tetesi Rage na Kaburu ndo wamepenya kwa Uenyekiti na Umakamu respectively
 
Raja Casablanca walipiga mtu goli 6-0 mpaka CAF wakajuta kwa nini waliweka ahadi ya kutoa fedha kwa kila goli litakalofungwa!
 
Hivi ni timu gani ya TZ katika historia ya mashindano ya kimataifa iliyowahi kubugizwa magoli mengi sana kuliko timu nyingine ye yote ya hapa TZ kwenye uwanja wetu wa nyumbani? Mimi naikumbuka timu fulani inaitwa Mufurila Wanderers iliifunga hiyo timu yetu (wewe Mkorintho unaijua) goli 4 kwa ubuyu.

basi wewe una kumbukumbu nzuri sana.... yaani mie nakumbuka ile ya goli sita alipigwa mtu tena wala si na timu ya ugenini bali ya hapahapa Dar wilaya ya ilala... tena shotii mputa, bila kujali kimo alichapa tatu


VIPI, UNAIKUMBUKA HIYO?

SASA UKIJA YA MUFULIRA, TULIKWENDA NA KUWACHAPA KWAO NA KUWATOA... HIYO VIPI MAZEE?
 
basi wewe una kumbukumbu nzuri sana.... yaani mie nakumbuka ile ya goli sita alipigwa mtu tena wala si na timu ya ugenini bali ya hapahapa Dar wilaya ya ilala... tena shotii mputa, bila kujali kimo alichapa tatu


VIPI, UNAIKUMBUKA HIYO?

SASA UKIJA YA MUFULIRA, TULIKWENDA NA KUWACHAPA KWAO NA KUWATOA... HIYO VIPI MAZEE?
Kaka, umerudi mechi za mchangani tena ambazo wenzio wanaringia vikombe vingi kwazo? Nilidhani tambo zako ni zilezile za kimataifa zaidi? Au unaanza kuji-distance nazo baada ya bakora HAMSA kutoka kwa Waarabu kaka?
 
Back
Top Bottom