Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
watan kazeni buti jamani lazima walale wale......
any nyuziiii
 
na badoooo leoooooooooo sitaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa sijui uchawi wa kaseja kauacha kwenye ndege
maana sijajua kama unaruka hadi nchi jirani............

Uyakumbuke tu haya maneno yako baada ya mechi
 
na badoooo leoooooooooo sitaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa sijui uchawi wa kaseja kauacha kwenye ndege
maana sijajua kama unaruka hadi nchi jirani............

Acha hizo bana....Uzalendo mbele mkuu..Kila la heri watani.....YES YOU CAN
 
ni tatu moja mpk sasa, mawili yao ni ya penalt, okwi ndo kafunga mpira mgumu sana na refa kimeo but wana simba wanapambana kama taifa star! mpira unaendelea...
 
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
unasemaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa????????????
 
Half time score 3-1 Emmanuel Okwi on target for Simba, duh Simba needs to score one more goal and not concede any to go through
 
Utani umenishinda
kwa kweli mungu anabariki ulichokuwa nacho sasa huyu na moja tutafika
 
Kipindi cha 2 dakika ya 60 bado 3-1 Simba needs to score a second away goal kwa jinsi nilivyowaona waarabu pale Taifa wako makini sana hasa nyumbani na Simba walipoteza nafasi nyingi za wazi kwani walikuwa na uwezo wa kumaliza mchezo game ya kwanza. If the Egyptian side score the 4th goal the tie will be OVER surely and kwa jinsi mpira unavyoendelea they are capable of scoring two or more goals. Kazeni buti watani nyie ndio twawategemea kwa mechi kama hizi atiiii
 
kuna yeyote anafahamu wapi naweza angalia hili game online?
 
Kipindi cha pikli dk 37 5-1 huyu Kaseja galasa tu nazima tv naenda lala
 
Back
Top Bottom