Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
- Thread starter
- #1,121
Simba kamili yaifuata Elan Send to a friend Tuesday, 25 January 2011 00:15 0diggsdigg
kocha Mkuu wa timu ya Simba,Patrick Phiri
Imani Makongoro
KIKOSI cha wachezaji 21 cha klabu ya Simba kitaondoka kesho asubuhi kwenda Comoro tayari kwa mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa ya Afrika dhidi ya timu ya Elan Club de Mitsoudje.
Timu hiyo itaondoka kwa ndege ya Air Comoro kuanzia saa 2:00 asubuhi na maandalizi yake yamekwisha kamilika kwa mujibu wa Makamu Mwenyekiti wa klabu hiyo, Godfrey Nyange ëKaburuí.
Kaburu alisema kuwa wachezaji wana morali kubwa na wanaamini watafanya vizuri katika mechi hiyo.
Naye kocha Mkuu wa timu hiyo, Patrick Phiri amesema kuwa pamoja na timu kupata matokeo mabaya ya kufungwa 3-2 na Azam FC, lakini wana matumaini makubwa ya kufanya vyema na makosa yaliyofanyika watayafanyika kazi kabla ya mechi yao ya mwishoni mwa wiki.
Phiri alisema kuwa mechi dhidi ya Atletico na Azam FC imewapa picha halisi ya timu yao na hasa upande wa ulizni ambayo imekuwa ikiruhusu mabao kirahisi.
Alisema kuwa tatizo hilo limekuwa likiigharimu sana timu yake na dawa yake imekwisha patikana na kuwataka mashabiki na wanachama wa klabu ya Simba kusahau matokeo mabaya kwa timu yao.
Alifafanua kuwa walifungwa bao rahisi sana na timu ya Atletico ya Brazil, lakini hakuizingatia sana mechi hiyo kutokana na viwango vya wachezaji na mechi ambayo imemtia simanzi kubwa ni dhidi ya Azam FC ambayo mara kadhaa wamekuwa wakiifunga.
ìHakuna tatizo kubwa na tusaiahu yaliyopita, sasa tuaangalia nini kinafuata na nini cha kufanya, tunaamini kuwa mechi yetu dhidi ya Elan itakuwa ngumu, lakini tutashida,î alisema Phiri.
Katika kikosi chake, Phiri amewaacha wachezaji sita kutokana na sababu za ugonjwa na nyingine ikiwemo viwango. Wachezaji walioachwa ni Joseph Owino na Uhuru Seleman ambao ni wagonjwa na wengine ni ambao hawatakuwemo katika safari hiyo ni Aziz Gilla, Kelvin Charles, Salum Kanoni na kipa namba tatu, Ramadhan Kabali.
Wachezaji wanaondoka ni: Makipa; Juma Kaseja, Ali Mustapha.
Mabeki: Haruna Shamte, Amir Maftah, Juma Jabu, Juma Nyosso, Kelvin Yondani, Meshack Abel.
Wachezaji wa kati (viungo): Mohamed Banka, Abdulhalim Humud, Jerry Santo, Rashid Gumbo, Nico Nyagawa, Hilary Echesa, Patrick Ochan na Amri Kiemba.
Washambuliaji ni: Mussa ìMgosiî Hassan, Emmanuel Okwi, Mbwana Samatta, Ahmed Shiboli na Shija Mkina.
Kwa upande wa benchi la ufundi kutakuwa na kocha mkuu, Patrick Phiri, msaidizi wake, Amri Said, timu meneja, Innocent Njovu na daktari, Cosmas Kapinga.
Mkuu wa Msafara huo ni Ibrahim Masoud ëMaestroí ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ufundi ya Simba na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji.
Kwa upande wa Shirikisho la soka la Tanzania (TFF), litawakilishwa na mjumbe wa kamati ya Utendaji, Shaibu Nampunde.
Wajumbe wengine katika msafara huo ni Swedi Mkwabi, Makamu Mwenyekiti, Godfrey ìKaburuî Nyange na mwenyekiti wa klabu hiyo, Ismail Aden Rage
Imani Makongoro
KIKOSI cha wachezaji 21 cha klabu ya Simba kitaondoka kesho asubuhi kwenda Comoro tayari kwa mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa ya Afrika dhidi ya timu ya Elan Club de Mitsoudje.
Timu hiyo itaondoka kwa ndege ya Air Comoro kuanzia saa 2:00 asubuhi na maandalizi yake yamekwisha kamilika kwa mujibu wa Makamu Mwenyekiti wa klabu hiyo, Godfrey Nyange ëKaburuí.
Kaburu alisema kuwa wachezaji wana morali kubwa na wanaamini watafanya vizuri katika mechi hiyo.
Naye kocha Mkuu wa timu hiyo, Patrick Phiri amesema kuwa pamoja na timu kupata matokeo mabaya ya kufungwa 3-2 na Azam FC, lakini wana matumaini makubwa ya kufanya vyema na makosa yaliyofanyika watayafanyika kazi kabla ya mechi yao ya mwishoni mwa wiki.
Phiri alisema kuwa mechi dhidi ya Atletico na Azam FC imewapa picha halisi ya timu yao na hasa upande wa ulizni ambayo imekuwa ikiruhusu mabao kirahisi.
Alisema kuwa tatizo hilo limekuwa likiigharimu sana timu yake na dawa yake imekwisha patikana na kuwataka mashabiki na wanachama wa klabu ya Simba kusahau matokeo mabaya kwa timu yao.
Alifafanua kuwa walifungwa bao rahisi sana na timu ya Atletico ya Brazil, lakini hakuizingatia sana mechi hiyo kutokana na viwango vya wachezaji na mechi ambayo imemtia simanzi kubwa ni dhidi ya Azam FC ambayo mara kadhaa wamekuwa wakiifunga.
ìHakuna tatizo kubwa na tusaiahu yaliyopita, sasa tuaangalia nini kinafuata na nini cha kufanya, tunaamini kuwa mechi yetu dhidi ya Elan itakuwa ngumu, lakini tutashida,î alisema Phiri.
Katika kikosi chake, Phiri amewaacha wachezaji sita kutokana na sababu za ugonjwa na nyingine ikiwemo viwango. Wachezaji walioachwa ni Joseph Owino na Uhuru Seleman ambao ni wagonjwa na wengine ni ambao hawatakuwemo katika safari hiyo ni Aziz Gilla, Kelvin Charles, Salum Kanoni na kipa namba tatu, Ramadhan Kabali.
Wachezaji wanaondoka ni: Makipa; Juma Kaseja, Ali Mustapha.
Mabeki: Haruna Shamte, Amir Maftah, Juma Jabu, Juma Nyosso, Kelvin Yondani, Meshack Abel.
Wachezaji wa kati (viungo): Mohamed Banka, Abdulhalim Humud, Jerry Santo, Rashid Gumbo, Nico Nyagawa, Hilary Echesa, Patrick Ochan na Amri Kiemba.
Washambuliaji ni: Mussa ìMgosiî Hassan, Emmanuel Okwi, Mbwana Samatta, Ahmed Shiboli na Shija Mkina.
Kwa upande wa benchi la ufundi kutakuwa na kocha mkuu, Patrick Phiri, msaidizi wake, Amri Said, timu meneja, Innocent Njovu na daktari, Cosmas Kapinga.
Mkuu wa Msafara huo ni Ibrahim Masoud ëMaestroí ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ufundi ya Simba na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji.
Kwa upande wa Shirikisho la soka la Tanzania (TFF), litawakilishwa na mjumbe wa kamati ya Utendaji, Shaibu Nampunde.
Wajumbe wengine katika msafara huo ni Swedi Mkwabi, Makamu Mwenyekiti, Godfrey ìKaburuî Nyange na mwenyekiti wa klabu hiyo, Ismail Aden Rage
