NG'OTIMBEBEDZU
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 1,180
- 595
Ha ha ha ha
Mkuu pole sana
Kanuni inaanza na tofauti ya mabao, halafu matokeo baina ya timu mbili husika, na mwishoe mabao ya kufunga
Mkuu, hapa kwetu kanuni ni goal difference, hatutumii head to head. Sasa kitakachotokea ni nini? Simba tutamfunga Majimaji 5-0, halafu yanga nao kupitia mobile phones watajua sisi tuna goli 5, kwa hiyo watamwambia John Tegete(baba wa Jery) afanye maarifa na ndipo Toto(makusudically kabisa!!!) wataachia goli 6 na yanga kuwa bingwa kwa goal difference. Then TFF watasema hii haikubaliki, watafuta matokeo na kuipa Azam Ubingwa. Sasa cha ajabu hawatazishusha Simba na yanga daraja.