Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,741
Kago ni kifaa simba huwa haisajiri magarasha kama Yanga...huwa anacheza namba 7, 9 na 10 lakini kwa mechi ya leo ni sahihi akicheza namba 7Hivi Kago katoka wapi na anacheza namba ngapi?? Kago asije akawa Cargo kwa Simba!! Lol!!
