Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Nawashauri Simba mwakani wajipange kushiriki Mashindano ya Afrika ya Kimbe la Washindi na sio Club bingwa.
Kama watashiriki Club bingwa basi wajifungishe katika round ya pili ili washuke kwenye Washindi.
Au wakishinda F.A basi wachague kucheza Washindi kwasababu huko wanaweza fika Fainali wakijipanga.
Ila Michuano ya Club Bingwa hawawezi fika mbali kuna mitimu imejipanga sana huko.
Kuzitoa Experence, Raja Casablanca, T.P. Mazembe, A.S Vita, Al-Ahally, Mamerodi Sundawns. Agusto.
Si lelemama hata kidogo.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
simba ni kikundi cha wahuni, wavuta bangi tuu, hv mngekutana na yanga c nngekuwa mnajamba jamba tuu
 
"Ni aibu Simba kutoshinda, baada ya kulipa mishahara inayokaribia Bilioni 4 kwa mwaka, najiuzulu kama mwenyekiti wa bodi na kubakia muwekezaji, Simba Nguvu Moja, nitatia nguvu kwenye kuendeleza miundombinu na soka la vijana">>> MODewji baada ya Simba kufungwa #MillardAyoSPORTS millardayo on Twitter
 
Hiki kitimu na vichezaji vyake vya magazetini kinazidi kujidhihirisha u underdog wake. Mlikuwa mnaishobokea Yanga si mngepigana bakora hadi Mo mwenyewe mngemcharaza!?
 
"Ni aibu Simba kutoshinda, baada ya kulipa mishahara inayokaribia Bilioni 4 kwa mwaka, najiuzulu kama mwenyekiti wa bodi na kubakia muwekezaji, Simba Nguvu Moja, nitatia nguvu kwenye kuendeleza miundombinu na soka la vijana">>> MODewji baada ya Simba kufungwa #MillardAyoSPORTS millardayo on Twitter
Haya haya haya muda Wa kupiga magoti umefika. Mhindi Wa watu anawapa hela ya usajili nyie mnasajili vijitu vya hovyo halafu mnawapa waandishi hela ili wavipigie promo
 
[emoji22][emoji22]
255718157070_status_f27e4fe093194f738286a4d894f579a4.jpeg
 
Sasa kwa namna mlivyooza hivi ndio mlitaka mcheze na Yanga final, mbona mngechanika katikati hapo.[emoji23][emoji23]
 
Imenichukua muda kidogo kabla ya kugundua kwamba Yanga tulifanya vema kutolewa na mtibwa.

Kwanza tulijiepusha na Ku risk,kwani kwenye derby lolote linaweza tokea,japo tuna uhakika Wa kuifunga simba hata tukicheza sasa hivi hapa ninavyoandika,ila kwa sababu mpira unadunda ingetokea wakatufunga timu ingepunguza morali tuliyonayo washabiki ktk kuiamini timu yetu.

Pili,tungekuwa tumechafua image ya brand yetu kwa mashindano ambayo hayana faida kwetu

Tatu, katika mchezo huo Simba wasingekuwa na cha kupoteza manake kama biashara wao wameshafanya kwa kuchukua hela zote ktk derby ya kwanza ambapo wao walikuwa wenyeji hivyo kama tungepunguza morali ya washabiki inamaana Yanga ndio ingekuwa na hasara kawani wao biashara yao wataifanya ktk mchezo Wa marudiano.

Nne, ili mchezo Wa pili uwe na msisimko zaidi inabidi hii tension iliyopo sasa ya Nani ni Mbabe kwa mwenzake iendelee kuimarika japo nyuma ya pazia tunajua kabisa Simba hawatuwezi na tutawakong'ota hadi Manara wamwite Manyaya.

Mwisho kabisa hatuna haja ya kulalamika kutokana na timu yetu kutolewa na mtibwa kwani hii ina faida kwetu wananchi kwani hadi sasa Simba bado wanaumia sana kwa kile tulichowafanyia na wanajiona bado wana deni .

HALAFU!!! HIVI NI KWELI JAMES KOTEI ANAKUJA!??
We jamaa una ona mbali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba bana kwa kujifariji, utadhani wahakujua kama hayo ni mashindano madogo
 
Back
Top Bottom