Kaliculus
JF-Expert Member
- Nov 8, 2019
- 271
- 247
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mianya ya kupenyeza rupia ilizibwa hyo kam baki wangeitolea wapi? Wanafanyaga kam baki wanapopata upenyo Wa kutoa chochote[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Walikuwa wanajiita wazee wa Kam bak. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jana Kam Bak imekataaa. [emoji23][emoji23][emoji23]
90+2'
Naaaaaaam mpira umekwishaa Uwanja wa Samora, ambapo Simba SC wanaibuka kwa ushindi wa bao moja bila majibu dhidi ya Lipuli FC
Bao la Simba limewekwa kimiani na Nahodha John Bocco dakika 23'
VPL, FT: Lipuli FC 0-1 Simba SC
Acha kumuonea Manara bila sababu
Inacheza tarehe 25 kombe la Azam dhidi ya MwaduiSimba inacheza lini tena Wakuu?
Simba inacheza lini tena Wakuu?
kesho na biashara Taifa