Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Hii nayo ya bwana Mungalu vipi!? Njaa imeanza mapema!? Ujanja janja Wa kizamani sasa hivi hauna nafasi tena shenzi taipu!
IMG-20200903-WA0054.jpg
 
Hii nayo ya bwana Mungalu vipi!? Njaa imeanza mapema!? Ujanja janja Wa kizamani sasa hivi hauna nafasi tena shenzi taipu!View attachment 1557430
𝙽𝚊𝚘𝚗𝚊 𝚞𝚗𝚊𝚝𝚎𝚜𝚎𝚔𝚊, 𝚞𝚝𝚘𝚙𝚘𝚕𝚘 𝚔𝚊𝚝𝚒𝚔𝚊 𝚞𝚋𝚘𝚛𝚊 𝚠𝚊𝚔𝚘, 𝚖𝚞𝚖𝚎𝚊𝚖𝚞𝚊 𝚔𝚞𝚓𝚒𝚏𝚒𝚌𝚑𝚊 𝚔𝚒𝚖𝚋𝚒𝚓𝚒 𝚔𝚠𝚎𝚗𝚢𝚎 𝚖𝚊𝚔𝚊𝚣𝚒 𝚢𝚊 𝚠𝚊𝚝𝚞
Screenshot_20200903-154359_Twitter.jpg
 
Nasikia Mzee Onyango na Mzee Kagere wanataka kila siku asubuhi shikamoo ziwe zinatolewa kwa wakati tena na watu wote hadi kina kishingo na Matola. Baada ya kishingo kuchelewa kutoa shikamoo ndipo akakutana na mkono Wa sheria Wa Terminator!!
𝙼𝚣𝚎𝚎 𝚘𝚗𝚢𝚊𝚗𝚐𝚒 𝚗𝚒 𝙼𝚅𝙿 𝚠𝚊 𝚔𝚎𝚗𝚢𝚊 𝚗𝚊 𝚖𝚣𝚎𝚎 𝚔𝚊𝚐𝚎𝚛𝚎 𝚝𝚘𝚙 𝚜𝚌𝚘𝚛𝚎𝚜 𝚠𝚊 𝚕𝚒𝚐𝚒, 𝚑𝚊𝚢𝚊 𝚞𝚔𝚘 𝚔𝚠𝚎𝚗𝚞 𝚞𝚝𝚘𝚙𝚘𝚕𝚘𝚗𝚒 𝚠𝚊𝚙𝚘 𝚑𝚊𝚘?
 
Baada ya Eymael kusema Washabiki wa Yanga ni Uneducated mmoja huyu hapa ameamua kujitokeza.
Ungekuwa na akili hata nusu ya unazopaswa kuwanazo basi ungefuta huu utopolo wako.
Kuhusu hili ulilolisema Bwana Luc alimwambia mwandishi Wa habari kama ifuatavyo "I don't enjoy your country, you are uneducated"! So hilo alirusha kwa Wa TZ wote nashangaa bado unamshangilia. Nadhani ni ile athari ya maneno ya Mzee Rage. Mkuu sahz ukichelewa kutoa shikamoo kwa wakati unakula mabanzi
 
Safari hii vijana waliochoka kutoa shikamoo watakula makofi hadi wanyooke
 
Kuhusu hili ulilolisema Bwana Luc alimwambia mwandishi Wa habari kama ifuatavyo "I don't enjoy your country, you are uneducated"! So hilo alirusha kwa Wa TZ wote nashangaa bado unamshangilia. Nadhani ni ile athari ya maneno ya Mzee Rage. Mkuu sahz ukichelewa kutoa shikamoo kwa wakati unakula mabanzi
Kuhusu hili ulilolisema Bwana Luc alimwambia mwandishi Wa habari kama ifuatavyo "I don't enjoy your country, you are uneducated"! So hilo alirusha kwa Wa TZ wote nashangaa bado unamshangilia. Nadhani ni ile athari ya maneno ya Mzee Rage. Mkuu sahz ukichelewa kutoa shikamoo kwa wakati unakula mabanzi
Nyani fc, Mambwa alisema nani?
 
Back
Top Bottom