fareed623
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 218
- 229
RelaxUkitaka uone hawa watu wanavyochanganyikiwa basi mida hii wasikie marefa wanasema " Leo mkatumie uwezo wenu mshinde sisi tutatenda haki tu Leo"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RelaxUkitaka uone hawa watu wanavyochanganyikiwa basi mida hii wasikie marefa wanasema " Leo mkatumie uwezo wenu mshinde sisi tutatenda haki tu Leo"
Sasa unataka wacheze wote, ???Morrison kasha anza kuonja bench [emoji23][emoji23] malipo ni hapa hapa
Bandiko mahususi kabisa kiukwel simba simba inapiga mwingi sana tuache utani kikosi kizima kinapiga kazi hatari*Nilichogundua ni kuwa tumewazoea sana Simba, maana nawaza*
1.Angefanya calinhos aliyofanya Chama (Goli 2 Assist Moja), kusingekalika humu, kama aliingia dk ya 80 akapiga faulo na kona tu akawa man of the match, ingekuwaje Jana ndio kacheza km Chama Je??
2.Zile fujo za Mzamiru angezifanya Mukoko humu pasingetosha
3. Zile Driblling na kasi ya shabalala angezifanya yule yassin sijui ingekuwaje humu.
4.Zile pasi 3 za konde boy za mabao angezipiga tuisila sijui ingekuwaje tu.
5.Vile vichwa na ukabaji wa Onyango ungefanywa na Mwamnyeto,tungekoma humu
6.Lile goli la Mugalu lingefungwa na Sapong nadhani angebebwa toka taifa hadi kigamboni.kama alifunga tu goli la piga nikupige akasifiwa wiki nzma,je lile la utulivu LA Mugalu?.
*NB: Tumewazoea sana hawa Simba, nadhani siyo level ya kucheza na timu za bongo pale kwa mkapa,ndio maana hatuwashangai sana*.
Upige kazi kwa wauza mayai wale wamesha jichokea tu....Bandiko mahususi kabisa kiukwel simba simba inapiga mwingi sana tuache utani kikosi kizima kinapiga kazi hatari
Shida hata utopolo walikula izo izo tena pale kwa mkapa inaonyesha hata wao chaliUpige kazi kwa wauza mayai wale wamesha jichokea tu....
Match ile mliwahonga baadhi ya wachezaji baada ya kuona match 2 za nyuma mnapoteana mkatumia buy and winShida hata utopolo walikula izo izo tena pale kwa mkapa inaonyesha hata wao chali
Well and good zimebaki wiki tatu tu mtani tusinuniane tuMatch ile mliwahonga baadhi ya wachezaji baada ya kuona match 2 za nyuma mnapoteana mkatumia buy and win
Tuliza pakunyea mkuu, Simba sio ya majaribio.Tupeleke hela ya refa mapema ili atubebe leo tupate points 3
Mbona hasemi Kalinya anakaa benchi.Sasa unataka wacheze wote, ???
Huko yanga wanacheza wote?Morrison kasha anza kuonja bench [emoji23][emoji23] malipo ni hapa hapa
Usijali mtani saiv pale huna wa kumhonga ambae alikuwa dalali siku zile mko nae kikosinWell and good zimebaki wiki tatu tu mtani tusinuniane tu
Mkuu wale vyura wana uhaba sana wa Quality Player kama waliopo Simba.*Nilichogundua ni kuwa tumewazoea sana Simba, maana nawaza*
1.Angefanya calinhos aliyofanya Chama (Goli 2 Assist Moja), kusingekalika humu, kama aliingia dk ya 80 akapiga faulo na kona tu akawa man of the match, ingekuwaje Jana ndio kacheza km Chama Je??
2.Zile fujo za Mzamiru angezifanya Mukoko humu pasingetosha
3. Zile Driblling na kasi ya shabalala angezifanya yule yassin sijui ingekuwaje humu.
4.Zile pasi 3 za konde boy za mabao angezipiga tuisila sijui ingekuwaje tu.
5.Vile vichwa na ukabaji wa Onyango ungefanywa na Mwamnyeto,tungekoma humu
6.Lile goli la Mugalu lingefungwa na Sapong nadhani angebebwa toka taifa hadi kigamboni.kama alifunga tu goli la piga nikupige akasifiwa wiki nzma,je lile la utulivu LA Mugalu?.
*NB: Tumewazoea sana hawa Simba, nadhani siyo level ya kucheza na timu za bongo pale kwa mkapa,ndio maana hatuwashangai sana*.
Nyie mkifungwa mmehongwa ila mkishinda hamsemi.Usijali mtani saiv pale huna wa kumhonga ambae alikuwa dalali siku zile mko nae kikosin
Yanga wanatamani kusema Biashara wabovu ila wakikumbuka na wao walikula hiyohiyo 4G inawabidi wawe wapole.Shida hata utopolo walikula izo izo tena pale kwa mkapa inaonyesha hata wao chali
Lete msimamo Tuone kati ya Biashara na Mbeya city nani kajichokea.Upige kazi kwa wauza mayai wale wamesha jichokea tu....
Kwamba mpaka red card ndio mshinde au kunawa ndani ya box na refa kutulia sio?Ukitaka uone hawa watu wanavyochanganyikiwa basi mida hii wasikie marefa wanasema " Leo mkatumie uwezo wenu mshinde sisi tutatenda haki tu Leo"