Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Yanga mnagubu aisee.
Embu tulieni,Simba inabishana na wakubwa wenzie wakina Mazembe,Alhly n,k
Nyinyi Uto wasubirini mashabiki wa Stendi utd na Mboa fc ndo saizi yenu.
 
Hii game ya Namungo naona Hans Pope kashafanya yake, haiwezekan tunashinda mabao mepesi hivi, kama lile goli la Kagere kipa kala mpunga yan!
 
Nasikia Mchezaji wa majaribio katika club ya Simba aitwaye Moyo, hatakiwi na Matola na ameondolewa clubuni.

hivi kweli kwa kiwango kile alichoonyesha, kweli Matola ana akili? Au anapiga jalamba ili awasajili wachezaji ambao watakuwa wanampa 10%?

Hivi waafrica tupoje?
mchezaji ni mzuri sana na ana uwezo wa hali ya juu kama kuna mtu aliye mwona. maajabu ameachwa sishangai kwann makocha wa kibongo huwa hawana mbele wala nyuma.
 
Nasikia Mchezaji wa majaribio katika club ya Simba aitwaye Moyo, hatakiwi na Matola na ameondolewa clubuni.

hivi kweli kwa kiwango kile alichoonyesha, kweli Matola ana akili? Au anapiga jalamba ili awasajili wachezaji ambao watakuwa wanampa 10%?

Hivi waafrica tupoje?
mchezaji ni mzuri sana na ana uwezo wa hali ya juu kama kuna mtu aliye mwona. maajabu ameachwa sishangai kwann makocha wa kibongo huwa hawana mbele wala nyuma.
Kiwango chake cha kawaida sana
Hata yule beki mi simtaki mara kumi ukasanili abdulmajid mangalo wa biashara au iddy moby wa polisi
 
Nasikia Mchezaji wa majaribio katika club ya Simba aitwaye Moyo, hatakiwi na Matola na ameondolewa clubuni.

hivi kweli kwa kiwango kile alichoonyesha, kweli Matola ana akili? Au anapiga jalamba ili awasajili wachezaji ambao watakuwa wanampa 10%?

Hivi waafrica tupoje?
mchezaji ni mzuri sana na ana uwezo wa hali ya juu kama kuna mtu aliye mwona. maajabu ameachwa sishangai kwann makocha wa kibongo huwa hawana mbele wala nyuma.
na wenzake wanatakiwa waachwe wachezaji wa kimataifa wanatakiwa waje na vitu vya tofauti akisajiliwa ataishia benchi tuu.
 
Nasikia Mchezaji wa majaribio katika club ya Simba aitwaye Moyo, hatakiwi na Matola na ameondolewa clubuni.

hivi kweli kwa kiwango kile alichoonyesha, kweli Matola ana akili? Au anapiga jalamba ili awasajili wachezaji ambao watakuwa wanampa 10%?

Hivi waafrica tupoje?
mchezaji ni mzuri sana na ana uwezo wa hali ya juu kama kuna mtu aliye mwona. maajabu ameachwa sishangai kwann makocha wa kibongo huwa hawana mbele wala nyuma.
Mchezaji wa kwaida Sana moyo.... wamejaa kibao bongo uchezaji Kama wake
 
Yanga mnagubu aisee.
Embu tulieni,Simba inabishana na wakubwa wenzie wakina Mazembe,Alhly n,k
Nyinyi Uto wasubirini mashabiki wa Stendi utd na Mboa fc ndo saizi yenu.
Si Bora Yanga kuliko wewe mshabiki wa Simba una majigambo na mbwembwe nyingi Kama Mwanamke wa kizaramo wakati uwezo wako ni mdogo.Makundi yameshapangwa subiri muda utasema
 
Si Bora Yanga kuliko wewe mshabiki wa Simba una majigambo na mbwembwe nyingi Kama Mwanamke wa kizaramo wakati uwezo wako ni mdogo.Makundi yameshapangwa subiri muda utasema
Uwezo mdogo wapo Makundi?

wewe uko wapi ambae ni bora?.. kwenye miaka 10 ulifanya nini na Simba miaka 5 amefanya nini?
 
Si Bora Yanga kuliko wewe mshabiki wa Simba una majigambo na mbwembwe nyingi Kama Mwanamke wa kizaramo wakati uwezo wako ni mdogo.Makundi yameshapangwa subiri muda utasema
We umefika lini huko kwenye makundi? Kufika hiyo hatua sio kama kalio useme kila mtu ana lake
 
Nasikia Mchezaji wa majaribio katika club ya Simba aitwaye Moyo, hatakiwi na Matola na ameondolewa clubuni.

hivi kweli kwa kiwango kile alichoonyesha, kweli Matola ana akili? Au anapiga jalamba ili awasajili wachezaji ambao watakuwa wanampa 10%?

Hivi waafrica tupoje?
mchezaji ni mzuri sana na ana uwezo wa hali ya juu kama kuna mtu aliye mwona. maajabu ameachwa sishangai kwann makocha wa kibongo huwa hawana mbele wala nyuma.
Anzisha timu yako umsajili
 
Back
Top Bottom