Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikosea kuwapa mbinu hii wakushukuru sana, [emoji23][emoji23][emoji23]Yaani mpaka sasa tajiri Mwamedi ampigie mwenzie Bakhressa japo iwe draw hahahaha haaaaaaa haaaaaaaaaaa. Ngada FC, Sembe FC, Pusha FC, Punda FC buana.
Endeleeni kujitekenya huku mnavunjiwa mayai..Simba akiwa Bora 💯 kuna mtu anapokeaga kichapo cha mbwa Koko na aibu
Huwaga azikosekani hizi
4_1
3_1
5-0
Lakini yeye akiwa Bora 💯 toka Tu hapo 2010 mpaka sasa ajawai shinda hata 3_0
Umeteseka ? Kwani uongo kanushaEndeleeni kujitekenya huku mnavunjiwa mayai..
ndio Yale Yale ya "zamani huyu jamaa alikuwaga na Hela.."
Muanze Kwanza nyinyi 🐍 fc na ruvu yule beki aliejifunga mlimpa shingapi? na sisi tunakuja kujibuKifungashio fc, bahasha fc, kolokolo fc, wazee fc malalamiko fc,ngada fc, aka kinyume nyume fc ,, mutupe maelezo yule alie wafungia gori mumemlipa shingapii!??
Gori la mchongo kabisa, nyie hamkustahili hata sare mushukuru na marefa wote walikua upande wennu,,nivile tu siku hizi hata ambebeki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu ile red card refa kameza filimbi.Kifungashio fc, bahasha fc, kolokolo fc, wazee fc malalamiko fc,ngada fc, aka kinyume nyume fc ,, mutupe maelezo yule alie wafungia gori mumemlipa shingapii!??
Gori la mchongo kabisa, nyie hamkustahili hata sare mushukuru na marefa wote walikua upande wennu,,nivile tu siku hizi hata ambebeki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa yaniii,, jana yamebebwaHalafu ile red card refa kameza filimbi.
Sawa mremboUmeteseka ? Kwani uongo kanusha
Ahaaa Sema nini mtani unachafukwa Sana jibu kimchezo inafaa ndio soka Aya mengine kawaida tuSawa mrembo
Sawa mremboAhaaa Sema nini mtani unachafukwa Sana jibu kimchezo inafaa ndio soka Aya mengine kawaida tu
OkSawa mrembo
Simba ni timu inayoendeshwa kihuni huni na kizamani sana.Ila mi mpaka leo sijaelewa seriousness ya wana msimbazi iko kwenye mambo gani hasa. Hivi lengo la kumleta Manzoki siku ile jukwaani lilikuwa lipi? Timu kama hii kweli inaweza kuwa na mipango ya maana ya maendeleo?