Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Masuke gemu yenu ikoje mnapelekwa nini au kawaida tu tuambie..
 
Last edited by a moderator:
Half time, jamaa bado wanaongoza. Ila wanapiga viatu sana.
 
Ngoja tusubiri kipindi cha pili, mnyama atarudi kukunjua makucha yake.
 
vizuri kwenda nje kwa freindlies match kuliko kucheza hapahapa bongo ndio maana wakienda nje hawachezi vizuri naona wanajipanga kwa gemu na chama langu azam fc..
 
vizuri kwenda nje kwa freindlies match kuliko kucheza hapahapa bongo ndio maana wakienda nje hawachezi vizuri naona wanajipanga kwa gemu na chama langu azam fc..
Mkuu hivi ulikuwa serious kweli unataka kujua mechi inachezwa wapi? Mimi nilidhani unatania, mechi inapigwa Taifa.
 
Kipindi cha pili kimeanza na matokeo bado yako vile vile.
 
Jamaa wamepata goli la pili, du hapa tunasononeka tu.

Sio mbaya, matokeo yeyote sawa tu, yatakuwa yameonesha jinsi tulivyo. Hii ni mechi nzuri ya kumwezesha kocha kujua mapungufu ya timu yake kabla ya mambo mazito kuanza.
 
Mkuu Masuke nimekuelewa uliposema timu yenu nzuri! Isingekuwa nzuri ingefungwa nyingi zaidi!! Ha ha ha ....
 
Masuke vipi mkuu la tatu nani katia kamba au ndio mmejipanga kwa gemu yetu hiyo jmosi
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Masuke nimekuelewa uliposema timu yenu nzuri! Isingekuwa nzuri ingefungwa nyingi zaidi!! Ha ha ha ....

siimpatii picha maulid baraka wa kitenge leo kwenye kipindi cha michezo redio one..
 
vizuri kwenda nje kwa freindlies match kuliko kucheza hapahapa bongo ndio maana wakienda nje hawachezi vizuri naona wanajipanga kwa gemu na chama langu azam fc..

Huna lolote wewe ni Simba ila huwaga unapenda kujificha nyuma ya Azam pale Simba wanapovurugikiwa!
Acha unafiki - jitoe kwenye hilo gamba uonekane wazi.
Nyinyi ndio dizaini ya akina Samuel Sitta na Nape Nnauye!!
 
siimpatii picha maulid baraka wa kitenge leo kwenye kipindi cha michezo redio one..

Inauma eeh? Simba yako kimeo tu mwaka huu.
Hapo ulipo unaomba sana Simba wamfunge Azam kwenye mechi ya ngao.

Elimu ya saikolojia tamu sana!!
 
Crashwise; imekuaje sasa, timu inaingia kwenye jiji na kipigo????? nimekuwa disappointed kwakweli.
 
Back
Top Bottom