Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnajisemesha wenyeweKwa Simba hii, Yanga ataendelea kuchukua ubingwa wa nchi mpaka 2030. Mjipange kweli kweli.
Simba msimu huu wako vizuriHivi Simba hakuna namba 3 mwingine zaidi ya tshabalala huyo huyo ?? Kauka nikuvae.
Mabingwa wa kombe gani?THIS IS SIMBA CYE NDO MABNGWA cyo mnaleta utopolo bukView attachment 2711924
hahahahahah! Kwan nyie n komb ga c n medall tuMabingwa wa kombe gani?
Ni hirizi zile wewehahahahahah! Kwan nyie n komb ga c n medall tu
Umesoma kwanza hapo walipoandika 2024/2025 kisha ukaelewa wamemaamiaha nini? Hoyo ni ranking ya kufikirika kwajili ya msimu wa 2024/2025. Kumbuka mashindano ya CAF msimu wa 2023/2024 bado hayajaanza na haijulikani timu zitavuna kipi.THIS IS SIMBA CYE NDO MABNGWA cyo mnaleta utopolo bukView attachment 2711924
Your opinion ila hyo imeenda!Umesoma kwanza hapo walipoandika 2024/2025 kisha ukaelewa wamemaamiaha nini? Hoyo ni ranking ya kufikirika kwajili ya msimu wa 2024/2025. Kumbuka mashindano ya CAF msimu wa 2023/2024 bado hayajaanza na haijulikani timu zitavuna kipi.
Imeenda wapi?Your opinion ila hyo imeenda!