Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
kwa mara nyingine tena nawapongeza vijana wa msimbazi kwa kula vibonde
Maumivu ya kichwa huanza taratiiibu. Papic angewafundisha vijana wake kupiga kabumbu kama la SSc jana, wallah wangempopoa LUPOPO na furaha ingekuwepo na sio hiyo huzuni.
 
Maumivu ya kichwa huanza taratiiibu. Papic angewafundisha vijana wake kupiga kabumbu kama la SSc jana, wallah wangempopoa LUPOPO na furaha ingekuwepo na sio hiyo huzuni.

kuna mijitu haifundishiki mazee... hebu nitajie wachezaji wawili tu wa yanga wanaofundishika
 
kuna mijitu haifundishiki mazee... hebu nitajie wachezaji wawili tu wa yanga wanaofundishika
Mkuu wale wachezaji wanafundishika kabisa,tatizo ni uongozi wao umewafanya wachezaji waamini kuwa kamati yao ya Ufundi ndio mwisho wa maneno. Teh teh teh!
 
Hongereni sana Watani...Ubingwa wenu mwaka huu,kila la heri kwa maandalizi ya CAF MTN CL mwakani...By the way(joke) hope mkipata hela za ubingwa angalau mtaenda kupaka rangi jengo lenu pale Msimbazi japo Gang Chomba kajitole kulikarabati jengo hilo,limechakaa sana jamani na linatia AIBU😀😀😀..Hongereni kwa Ubingwa(in advance) watani
 
yanga wangeacha kwenda tu zaire kwani kule ni kichapo tu wanapoteza nauli ya bure

tunataka kuwaonyesha namna ushiriki wa michuano ya kimataifa huwa unakuaje tutakapocheza kwenye kombe la CAF
 
Hongereni sana Watani...Ubingwa wenu mwaka huu,kila la heri kwa maandalizi ya CAF MTN CL mwakani...By the way(joke) hope mkipata hela za ubingwa angalau mtaenda kupaka rangi jengo lenu pale Msimbazi japo Gang Chomba kajitole kulikarabati jengo hilo,limechakaa sana jamani na linatia AIBU😀😀😀..Hongereni kwa Ubingwa(in advance) watani[/QUOTE]
Hili ni la msingi sana mkulu wangu....

Hivi wachezaji wenu wameshalipwa mishahara ya january na december?? walilalama sana aisee wakiomba msaada kitaa na kwenye vijarida
 
Hongereni sana Watani...Ubingwa wenu mwaka huu,kila la heri kwa maandalizi ya CAF MTN CL mwakani...By the way(joke) hope mkipata hela za ubingwa angalau mtaenda kupaka rangi jengo lenu pale Msimbazi japo Gang Chomba kajitole kulikarabati jengo hilo,limechakaa sana jamani na linatia AIBU😀😀😀..Hongereni kwa Ubingwa(in advance) watani[/QUOTE]
Hili ni la msingi sana mkulu wangu....

Hivi wachezaji wenu wameshalipwa mishahara ya january na december?? walilalama sana aisee wakiomba msaada kitaa na kwenye vijarida

Wachezaji washalipwa kila kitu now...Kondic ndo alikuwa anafanya usanii yule,ndo maana unaona hata perfomance yao imeimprove

Hivi Chapati za Simba wa Yuda KADU mlimlipa jamani??,maana mpaka sasa hivi akilewa anaanza kulalama kwamba kazimwa hela aliyotumia kuwanunulia chapati wachezaji...(utani wa jadi raha sana bana)
 
Wachezaji washalipwa kila kitu now...Kondic ndo alikuwa anafanya usanii yule,ndo maana unaona hata perfomance yao imeimprove

Hivi Chapati za Simba wa Yuda KADU mlimlipa jamani??,maana mpaka sasa hivi akilewa anaanza kulalama kwamba kazimwa hela aliyotumia kuwanunulia chapati wachezaji...(utani wa jadi raha sana bana)

Yanga mnanifurahisha siku hizi kwa kitendo cha kuacha kuishangilia ccm mnapofunga magoli... big up!
 
Ohoo hujanielewa wewe, namaanisha kwanini hii habari ambayo ni njema kwa sisi wanaSimba usiongezee kule ktk ile thread ya Simba? Hope umeelewa sasa
samahani mkuu sikukuelewa vizuri-simba oyee?tugange yajayo.samahani sana.
 
Jamani nasikia Yebo kashinda 6 leo dhidi ya Toto lakini mi litegemea matokeo hayo hat wangetaka kumi wangpewa tu!
 
Yanga mnanifurahisha siku hizi kwa kitendo cha kuacha kuishangilia ccm mnapofunga magoli... big up!
Labda ni baada ya Msela Manji kuwatosa! maana njaa iliyopo Jangwani ni ya kufa mtu. We fikiria mchezaji ana familia halafu tokea Decemba humpi kitu, du!
Hivi Msimbazi hawawezi kuandaa kaharambee kadogo ka kuokoa maisha ya watani zetu? maana utani ni kusaidiana katika shida kama msiba,ugonjwa na njaa kama hii inayo wakabili wenzetu.
 
Wachezaji washalipwa kila kitu now...Kondic ndo alikuwa anafanya usanii yule,ndo maana unaona hata perfomance yao imeimprove

Hivi Chapati za Simba wa Yuda KADU mlimlipa jamani??,maana mpaka sasa hivi akilewa anaanza kulalama kwamba kazimwa hela aliyotumia kuwanunulia chapati wachezaji...(utani wa jadi raha sana bana)

si unaona kaduguda kanyamaza?? keshalipwa huyo... sasa kazi yenu ni kuwasafirisha wale jamaa wa mwanza aisee maana wamewauzia gemu fresh!!!

ujumbe kwa yanga: ubingwa si magoli pekee, ni pweint pia... na mwaka huuu hamtoki
 
si unaona kaduguda kanyamaza?? keshalipwa huyo... sasa kazi yenu ni kuwasafirisha wale jamaa wa mwanza aisee maana wamewauzia gemu fresh!!!

ujumbe kwa yanga: ubingwa si magoli pekee, ni pweint pia... na mwaka huuu hamtoki

Hata wagunge magoli kumi....Tarehe 6 Machi tunatangaza ubingwa, halafu siku ya mechi ya watani wa jadi, Yanga walazimika kujipanga mstari kutupigia makofi wakati wa kuingia uwanjani, maana tutakuwa tunacheza nao tukiwa tayari ni mabingwa!
 
Labda ni baada ya Msela Manji kuwatosa! maana njaa iliyopo Jangwani ni ya kufa mtu. We fikiria mchezaji ana familia halafu tokea Decemba humpi kitu, du!
Sio wachezaji tu, hata kocha hawamlipi. Ameamua kuomba kazi TFF na kuweka wazi kwamba mkataba wake unaisha June.
 
Labda ni baada ya Msela Manji kuwatosa! maana njaa iliyopo Jangwani ni ya kufa mtu. We fikiria mchezaji ana familia halafu tokea Decemba humpi kitu, du!
Hivi Msimbazi hawawezi kuandaa kaharambee kadogo ka kuokoa maisha ya watani zetu? maana utani ni kusaidiana katika shida kama msiba,ugonjwa na njaa kama hii inayo wakabili wenzetu.
Zile pesa za SHINYANGA mshalipa mliwatapeli watu ili mlipie geust house kule Kagera ama vipi
 
Back
Top Bottom