Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Simba pekee ndio wenye historia ya kuitoa Tanzania kimasomaso kwenye michuano ya kimataifa
 
Kwenu Wapenzi,washabiki , wafurukutwa, wakereketwa na wanachama wa simba

Hivi hawa wanachama wachache wakishirikiana na wapenzi,mashabiki,wafurukutwa na wakereketwa wa simba wanataka kuvuruga mambo. Kwa mujibu wa makubaliano ya wananchama wote kwa azimio na kauli thabiti pasipo unafiki wote tulivyoosha mikono na kusema uchaguzi ufanyike baada ya ligi kuisha. sasa bado mechi tatu kelele zinatoka wapi. Hii ndio shida ya kuwa na wanachama ambao 70 % ni darasa la saba. Nafikili itafikia sehemu ili uwe mwanachama angalau uwe form six. karibuni kwa mawazo yenu bila kujali itikadi za ushabiki
 
Wakuu wana Msimbazi nimeona nianzishe Thread Mahsusi kwa Ajili ya Kusherehekea Ubingwa wa Ligi Kuu ambao tutautwaa Jumapili na kukabidhiwa kombe letu siku tutakapomnyoa Kandambili! Mod naomba muiache hii Mpaka Jumapili ni Mahsusi kwa Ajili ya Ubingwa Wetu
 
Inshalah Mungu akipenda tutakuwa Uwanjani kuwapa Suport vijana
 
Ubingwa Jumapili, then Kandambili tunawaua huku tukiwa tunaliangalia Kombe. Mwaka huu Simba Raha.
 
picture.php
 

Huu ubingwa ungekuwa mzuri sana kama tungeupatia kwa Yanga sema tu ratiba inataka tuwahi,,, RAHA sANA


Ni Kweli Mkuu, Ratiba iko taiti sana kwa hiyo ni bora vijana wakamaliza kazi Mapema ili tuweze kujiandaa Kimataifa! Tutatumia Mechi zetu na Kndambili na Mtibwa kama Mechi za Maandalizi ya Michuano ya Kimataifa ambapo Matumaini ya Watanzania wote yamebebwa na Simba baada ya Kandambili kuondoshwa na Wacheza Ndombolo
 
Jamani Ubingwa kesho huoooooooooooooo, mimi nasafiri kutoka mkoani kuja kusherehekea
 
Wakuu hebu tujadili hawa jamaa wa Redio One na ITV wamekuwa wakijifanya mara kwa mara kususa kutangaza habari ya chama letu. Akili zao ndogo sana kwa kususa. Hivi kwa kufanya hivyo wanamkomoa nani? Simba? au wapenzi wa michezo? au hawajui kuwa wanapoteza wasililizaji na watazamaji wa vyombo vyao vya habari?
 
Simba pekee ndio wenye historia ya kuitoa Tanzania kimasomaso kwenye michuano ya kimataifa
Nashindwa kujua hii hype ya SSC kuitoa TZ kimasomaso kimataifa sijui inakuwa supported na tangible object gani? Itabidi one day niende Msimbazi nikapige chabo kwenye trophy cabinet ya SSC kujua kuna rekodi ya vikombe vingapi imewahi kuchukua kwenye continental level. Hiyo ndiyo record pekee ambayo ukienda Cairo (CAF hq) unaweza kuipata na kusema..yes SSC ni kiboko. Siyo kuishia kuwafunga Zamalek, etc tu
 
Wakuu hebu tujadili hawa jamaa wa Redio One na ITV wamekuwa wakijifanya mara kwa mara kususa kutangaza habari ya chama letu. Akili zao ndogo sana kwa kususa. Hivi kwa kufanya hivyo wanamkomoa nani? Simba? au wapenzi wa michezo? au hawajui kuwa wanapoteza wasililizaji na watazamaji wa vyombo vyao vya habari?

Redio One na ITV ni kama mtoto asiyekuwa. Grow up.. Hatimaye nyinyi ndiyo mtakuwa losers, na mnaweza hata kukosa udhamini wa kipindi chenu cha michezo. Habari ni biashara. Na kumbukeni kwamba watu hawana muda wa kupoteza kusikiliza au kuangalia kipindi chenye habari nusu nusu ...
 
Mimi nasubiri kuona kama hawatotangaza habari ya mechi ya chama letu na wachovu yanga.
"Wachovu" Yanga? 22 times TZ champs vs Simba's 16? Are u serious? Come on, get yourself down to earth and raise your hands to this awesome Yanga's record!!
 
"Wachovu" Yanga? 22 times TZ champs vs Simba's 16? Are u serious? Come on, get yourself down to earth and raise your hands to this awesome Yanga's record!!

Uzushi!! siyo mara 22!! Yanga wametwaa ubingwa wa TZ mara 17 (1968, 1969, 1970, 1971, 1974, 1981, 1983, 1987, 1991, 1996, 1997, 2000, 2003, 2005, 2006, 2008, 2009).

Simba mara 16 (1965 na 1966 - wakati tukiwa Sunderland TZ na 1972, 1973, 1976, 1977, 1978, 1979, 1980, 1993, 1994, 1995, 2001, 2002, 2004).
 
Uzushi!! siyo mara 22!! Yanga wametwaa ubingwa wa TZ mara 17 (1968, 1969, 1970, 1971, 1974, 1981, 1983, 1987, 1991, 1996, 1997, 2000, 2003, 2005, 2006, 2008, 2009).

Simba mara 16 (1965 na 1966 - wakati tukiwa Sunderland TZ na 1972, 1973, 1976, 1977, 1978, 1979, 1980, 1993, 1994, 1995, 2001, 2002, 2004).

No data no right to speak..........
 
"Wachovu" Yanga? 22 times TZ champs vs Simba's 16? Are u serious? Come on, get yourself down to earth and raise your hands to this awesome Yanga's record!!

Muungwana akivuliwa nguo huchutama......
 
Back
Top Bottom