Simba, timu iliyopoteza mechi chache kuliko zote msimu huu

Simba, timu iliyopoteza mechi chache kuliko zote msimu huu

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Rekodi za Simba msimu huu zimebezwa sana kiasi kwamba watu wamekuwa wanazungumza mambo yasiyo na uhalisia ili tu ajenda zao binafsi ziaminiwe.

Kuna takwimu nyingi zinazothibitisha kwamba Simba ya msimu huu haijafanya vibaya kama tunavyoaminishwa.

Leo nakumbushia kuwa Simba mpaka sasa, zikiwa zimebaki mechi 2-3 kumalizika kwa msimu, Simba ndiyo timu iliyopoteza mechi chache zaidi kuliko zote ikiwa imepoteza mechi 1 tu msimu mzima mpaka sasa.

Kuna takwimu nyingine nyingi za namna hiyo mfano, Simba ndiyo timu iliyofunga magoli mengi, ndiyo timu iliyofungwa magoli machache, nk. Huko kimataifa mchambuzi mwanayanga Ramadhani Mbwaduke amesema mara kwa mara kuwa ukiangalia takwimu mbalimbali za uwanjani, Simba ya msimu huu ni bora kuliko zile za misimu iliyopita.

Ni kweli Simba haijabeba kombe lolote msimu huu ila ni dhahiri juhudi zilifanyika na namba hizi hazidanganyi.

1684048051549.jpeg

 
Rekodi za Simba msimu huu zimebezwa sana kiasi kwamba watu wamekuwa wanazungumza mambo yasiyo na uhalisia ili tu ajenda zao binafsi ziaminiwe.

Kuna takwimu nyingi zinazothibitisha kwamba Simba ya msimu huu haijafanya vibaya kama tunavyoaminishwa.

Ila leo nataka tu kukumbushia kuwa Simba mpaka sasa, zikiwa zimebaki mechi 2-3 kumalizika kwa msimu, ndiyo timu iliyopoteza mechi chache zaidi kuliko zote ikiwa imepoteza mechi 1 tu msimu mzima mpaka sasa.

Kuna takwimu nyingine nyingi tu mfano, Simba ndiyo timu iliyofunga magoli mengi, ndiyo timu iliyofungwa magoli machache, nk. Huko kimataifa mchambuzi mwanayanga Ramadhani Mbwaduke amesema mara kwa mara kuwa ukiangalia takwimu mbalimbali za uwanjani, Simba ya msimu huu ni bora kuliko zile za misimu iliyopita.

Ni kweli Simba haijabeba kombe lolote msimu huu ila ni dhahiri juhudi zilifanyika na namba hizi hazidanganyi.
The end justifies the means. Ukifaulu sana darasani ukafail Necta basi ufaulu wako utakuwa hauna maana kihivyo maana husongi mbele
 
Rekodi za Simba msimu huu zimebezwa sana kiasi kwamba watu wamekuwa wanazungumza mambo yasiyo na uhalisia ili tu ajenda zao binafsi ziaminiwe.

Kuna takwimu nyingi zinazothibitisha kwamba Simba ya msimu huu haijafanya vibaya kama tunavyoaminishwa.

Ila leo nataka tu kukumbushia kuwa Simba mpaka sasa, zikiwa zimebaki mechi 2-3 kumalizika kwa msimu, ndiyo timu iliyopoteza mechi chache zaidi kuliko zote ikiwa imepoteza mechi 1 tu msimu mzima mpaka sasa.

Kuna takwimu nyingine nyingi tu mfano, Simba ndiyo timu iliyofunga magoli mengi, ndiyo timu iliyofungwa magoli machache, nk. Huko kimataifa mchambuzi mwanayanga Ramadhani Mbwaduke amesema mara kwa mara kuwa ukiangalia takwimu mbalimbali za uwanjani, Simba ya msimu huu ni bora kuliko zile za misimu iliyopita.

Ni kweli Simba haijabeba kombe lolote msimu huu ila ni dhahiri juhudi zilifanyika na namba hizi hazidanganyi.

Una uthibitisho gn mbwaduke ni mwana yanga?
Huyo bro hajawai kuonesha itikadi za kishabiki ktk kazi yake ila ww umeshaanza kumuita mwana Yanga
 
The end justifies the means. Ukifaulu sana darasani ukafail Necta basi ufaulu wako utakuwa hauna maana kihivyo maana husongi mbele
Tafuta pesa mwanao asifanye huo upuuzi unaoitwa Necta.
 
Rekodi za Simba msimu huu zimebezwa sana kiasi kwamba watu wamekuwa wanazungumza mambo yasiyo na uhalisia ili tu ajenda zao binafsi ziaminiwe.

Kuna takwimu nyingi zinazothibitisha kwamba Simba ya msimu huu haijafanya vibaya kama tunavyoaminishwa.

Ila leo nataka tu kukumbushia kuwa Simba mpaka sasa, zikiwa zimebaki mechi 2-3 kumalizika kwa msimu, ndiyo timu iliyopoteza mechi chache zaidi kuliko zote ikiwa imepoteza mechi 1 tu msimu mzima mpaka sasa.

Kuna takwimu nyingine nyingi tu mfano, Simba ndiyo timu iliyofunga magoli mengi, ndiyo timu iliyofungwa magoli machache, nk. Huko kimataifa mchambuzi mwanayanga Ramadhani Mbwaduke amesema mara kwa mara kuwa ukiangalia takwimu mbalimbali za uwanjani, Simba ya msimu huu ni bora kuliko zile za misimu iliyopita.

Ni kweli Simba haijabeba kombe lolote msimu huu ila ni dhahiri juhudi zilifanyika na namba hizi hazidanganyi.

Unafunga ndoa lakini mke anaendelea kuishi kwa wazazi wake halafu unajisifia sheria na pete vilikuwa babu kubwa! Ooh,koti langu liling'ara kuliko yote! Kenge wewe.
 
Rekodi za Simba msimu huu zimebezwa sana kiasi kwamba watu wamekuwa wanazungumza mambo yasiyo na uhalisia ili tu ajenda zao binafsi ziaminiwe.

Kuna takwimu nyingi zinazothibitisha kwamba Simba ya msimu huu haijafanya vibaya kama tunavyoaminishwa.

Ila leo nataka tu kukumbushia kuwa Simba mpaka sasa, zikiwa zimebaki mechi 2-3 kumalizika kwa msimu, ndiyo timu iliyopoteza mechi chache zaidi kuliko zote ikiwa imepoteza mechi 1 tu msimu mzima mpaka sasa.

Kuna takwimu nyingine nyingi tu mfano, Simba ndiyo timu iliyofunga magoli mengi, ndiyo timu iliyofungwa magoli machache, nk. Huko kimataifa mchambuzi mwanayanga Ramadhani Mbwaduke amesema mara kwa mara kuwa ukiangalia takwimu mbalimbali za uwanjani, Simba ya msimu huu ni bora kuliko zile za misimu iliyopita.

Ni kweli Simba haijabeba kombe lolote msimu huu ila ni dhahiri juhudi zilifanyika na namba hizi hazidanganyi.


Upo sahihi, kabisa, wana sura nzuri, wana vitambi vizuri, wana dreds, at the end of the day, mafanikio ya soka hupimwa kwa mataji mwisho wa msimu.
 
Una uthibitisho gn mbwaduke ni mwana yanga?
Huyo bro hajawai kuonesha itikadi za kishabiki ktk kazi yake ila ww umeshaanza kumuita mwana Yanga
Hoja yako inabadili nini katika nilichosema?
 
Back
Top Bottom