Simba, timu iliyopoteza mechi chache kuliko zote msimu huu

Simba, timu iliyopoteza mechi chache kuliko zote msimu huu

Ni relevant kabisa maana the end justifies the means.
Huo msemo "the end justifies the means" hauko "relevant" hapa labda kama unahalalisha matumizi ya njia haramu katika soka. Uzi huu haupo katika mada hizo.
 
Huo msemo "the end justifies the means" hauko "relevant" hapa labda kama unahalalisha matumizi ya njia haramu katika soka. Uzi huu haupo katika mada hizo.
Maneno ya wakosaji. Mkifunga nyinyi halali wakigunga yanga wametumia pesa.
Lengo ni makombe hayo mengine kelele tu. Na kombe ndio the end, so the means za kupata kombe ndio zina determine ubora wa timu. The end justifies the means. Kama mwisho mbovu, malengo hayajatimia, the means ina maana haifai, rudi ukajipange.
Msemo so relevant
 
Usilazimishe kupeleka mada ambapo haikuwa lengo la uzi huu na pia acha kuokoteza misemo usiyojua maana zake.

Maneno ya wakosaji. Mkifunga nyinyi halali wakigunga yanga wametumia pesa.
Lengo ni makombe hayo mengine kelele tu. Na kombe ndio the end, so the means za kupata kombe ndio zina determine ubora wa timu. The end justifies the means. Kama mwisho mbovu, malengo hayajatimia, the means ina maana haifai, rudi ukajipange.
Msemo so relevant
 
Usilazimishe kupeleka mada ambapo haikuwa lengo la uzi huu na pia acha kuokoteza misemo usiyojua maana zake.
Unashindwa kuelewa jambo dogo la msemo mdogo kama huo kwamba the end justifies the means. Hizo sifa ulizoipa simba hazikuleta makombe ndio lengo la kila timu hasa timu kubwa kama simba hivyo hizo sifa hazina maana. Kuelewa umeelewa ila hutaki kuamini kama umeelewa
 
Rekodi za Simba msimu huu zimebezwa sana kiasi kwamba watu wamekuwa wanazungumza mambo yasiyo na uhalisia ili tu ajenda zao binafsi ziaminiwe.

Kuna takwimu nyingi zinazothibitisha kwamba Simba ya msimu huu haijafanya vibaya kama tunavyoaminishwa.

Leo nakumbushia kuwa Simba mpaka sasa, zikiwa zimebaki mechi 2-3 kumalizika kwa msimu, Simba ndiyo timu iliyopoteza mechi chache zaidi kuliko zote ikiwa imepoteza mechi 1 tu msimu mzima mpaka sasa.

Kuna takwimu nyingine nyingi za namna hiyo mfano, Simba ndiyo timu iliyofunga magoli mengi, ndiyo timu iliyofungwa magoli machache, nk. Huko kimataifa mchambuzi mwanayanga Ramadhani Mbwaduke amesema mara kwa mara kuwa ukiangalia takwimu mbalimbali za uwanjani, Simba ya msimu huu ni bora kuliko zile za misimu iliyopita.

Ni kweli Simba haijabeba kombe lolote msimu huu ila ni dhahiri juhudi zilifanyika na namba hizi hazidanganyi.

Ukusikia sifa za kijinga ndiyo hizi Sasa!
 
Unashindwa kuelewa jambo dogo la msemo mdogo kama huo kwamba the end justifies the means. Hizo sifa ulizoipa simba hazikuleta makombe ndio lengo la kila timu hasa timu kubwa kama simba hivyo hizo sifa hazina maana. Kuelewa umeelewa ila hutaki kuamini kama umeelewa
Sawa Bwana Nafaka, mzee wa the end justifies the means. Nadhani ungetumia maneno hayo katika uzi HUU hata Yanga wenzio wangekukaanga.
 
Sawa Bwana Nafaka, mzee wa the end justifies the means. Nadhani ungetumia maneno hayo katika uzi HUU hata Yanga wenzio wangekukaanga.
Hapana mimi namwaga fact mkuu na watu wengi wanapenda kusikia kinachowafurahisha sio uhalisia
 
Huo ndo ukweli unaoumaaa...watu wako wamechukua ubingwa huku wana kinyongo...
Jamani uchawi upoo
 
Hapana mimi namwaga fact mkuu na watu wengi wanapenda kusikia kinachowafurahisha sio uhalisia
Ni kweli kabisa ndiyo maana wenzio wengi wamevamia uzi kwa makasiriko bila kuangalia "facts" zilizoletwa mezani wala mada husika.
 
Malengo ni kombe tu
Haya chukueni kombe lenu

20230514_211526.jpg
 
Back
Top Bottom