Simba tujipange, Uto wamekamia kumalizia hasira yao tarehe 23/10/2022. Tawi la mwisho liteleze!

Simba tujipange, Uto wamekamia kumalizia hasira yao tarehe 23/10/2022. Tawi la mwisho liteleze!

Iko wazi kabisa kuwa Yanga wameshikwa pabaya! Tumaini lao lililobaki kwa mbali ni kutaka kufurahisha na kuwasahaulisha machungu ya kufurumushwa CAF Champions League kama kibaka fulan hivi, kwa kujaribu kuwafunga Simba.

Kwa mtazamo wa Yanga, kumfunga Simba ni kama kuchukua Kombe la Duinia, huwa wanacheza nje na ndani ya uwanja!

Simba tuwe macho tuwafunge, na hapo utazuka mgogoro hapo Jangwani!
Trust me hawafurukuti this time.. Majj ya shingo
giphy.gif
 
Kilele cha mafanikio ya Yanga ni kuona wanaifunga Simba!! Wako radhi wafungwe na timu zote ila waifunge Simba! GSM anajua akiifunga simba ataendeleza mrija wake pale yanga!! Anajua kula na vipofu!!
 
Safari hii pamoja na mbinu ya yanga ya bahasha, hata hivyo kipigo kipo pale pale!!
 
Usiku wa deni haukawii kucha!! kumekucha tayari uto tafuteni pa kujificha!! Mnyama mkali anakuja kwa mkapa!
 
Kwa wachezaji gani mkuu??
Kutolewa Champions League kwa Yanga usidhani Yanga ni Mchekea, utapigwa hadi ushangae.

Nachowakubali Yanga kwenye Dabi hawanaga utani, wanakiwasha ile mbaya.
Yanga hawana mpira wa class ya Simba sema ni mpira wa mauza uza tu ndo unawabeba.
 
Sawa acha iwe ivyo tukung'utwe baada ya hapo maisha yataendelea.

Simba kaingia makundi kavuna 1.4b,akivuka kwenda robo kuna 2.b.akivuka kwenda nusu 3.b.

Kusingekua na madili hayo [emoji115]hakika Simba wangekua na presha ya daby na presha ingekuwepo.
Mnakwenda wapu nyie makundi mwisho wenu
 
Uzuri tuna mtoto wa Tanga halogekiiii ...Mgunda najua utakua umeshapata dawa ya hawa ropo ropo wafanye wakalale na maumivu makali km tumewatumbua jipu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom