Simba tuliwapenda sana ila safari yenu hapa ndo mwisho.

Simba tuliwapenda sana ila safari yenu hapa ndo mwisho.

Kuelewa umeelewa lakini? tukutane saa sita usiku unipe mrejesho. Kama nakuona ulivyo fula kwa majonzi ulitaka waafrica wenzako wafungwe?

Huu sasa ubaguz. Kwa hyo Misri siyo Africa
 
Mimi ni mzarendo tena kweli kweli ila kwa matokeo ya fc vita ya leo bila shaka safari yenu imefikia ukingoni, unafahamu ni kwanini?

Kwanza mechi ya leo saa nne uwezo wakushinda haupo wala tusilishane tango pori. Kwa maana hyo basi saura wataongoza kundi kwa point 8 watafata wa misri na point 7 alafu fc vita na point 7 simba mtakuwa mnabuluza mkia na point 6.

Kimbembe sasa kitakuwa taifa ile ndo itakuwa fainali ya mwaka huu ya club bigwa barani africa afe kipa afe beki fc vita 2 simba 1 simba nje .
Huu ndio ukweli wenyewe japo watu hawataki kuusikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • FB_IMG_1525859040673.jpg
    FB_IMG_1525859040673.jpg
    63.9 KB · Views: 23
Nilipoona umejiita Mzarendo nikajua ni zero brain...
 
Mbona una mtazamo hasi mleta uzi.Unafahamu faida za Simba kufika robo fainali kwa nchi?Nakwambia wewe siyo Mzalendo.Achaneni na mambo ya simba na yanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mzarendo tena kweli kweli ila kwa matokeo ya fc vita ya leo bila shaka safari yenu imefikia ukingoni, unafahamu ni kwanini?

Kwanza mechi ya leo saa nne uwezo wakushinda haupo wala tusilishane tango pori. Kwa maana hyo basi saura wataongoza kundi kwa point 8 watafata wa misri na point 7 alafu fc vita na point 7 simba mtakuwa mnabuluza mkia na point 6.

Kimbembe sasa kitakuwa taifa ile ndo itakuwa fainali ya mwaka huu ya club bigwa barani africa afe kipa afe beki fc vita 2 simba 1 simba nje .
Mzalendo hovyo kabisa ww endesheni harambee changia timu ilipe mishahara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom