Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Djibouti na Sana'a Yemen ni kama Dar na Singida ila still ni AfricaPole bro misri na spain ni kama bukoba na dar.
Mechi ya leo haina hata nguvu sana zaidi ya kuongeza option moja ya droo dhidi ya AC Vita.
Mechi ya Mwisho Mnyama anatakiwa apate point 3 baasi
Na ikumbukwe kwasasa karibu kila mmoja ni mbabe kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Wawa mbona pasi zote anawapa maadui?Simba wanapocheza mechi za ugenini huwa wanakua tofauti kabisa na pale wanapocheza uwanja wa Taifa. Wanapokua ugenini huwa wana zubaa sana na pia timu nzima kupoteana muda mwingi.
Wakibadilika, wanaweza kabisa kuchomoa goli walilofungwa na kuambulia walau sare.
Tabir upya
Nafasi ya Mshana Jr matataniMimi ni mzarendo tena kweli kweli ila kwa matokeo ya fc vita ya leo bila shaka safari yenu imefikia ukingoni, unafahamu ni kwanini?
Kwanza mechi ya leo saa nne uwezo wakushinda haupo wala tusilishane tango pori. Kwa maana hyo basi saura wataongoza kundi kwa point 8 watafata wa misri na point 7 alafu fc vita na point 7 simba mtakuwa mnabuluza mkia na point 6.
Kimbembe sasa kitakuwa taifa ile ndo itakuwa fainali ya mwaka huu ya club bigwa barani africa afe kipa afe beki fc vita 2 simba 1 simba nje .
Siyo rahisi hivyo. Kila team nyumbani imefanya vizuri. Pale Taifa hatoki mtu,mark my words. Utakuja kuniambia. Mwisho wa mzunguku,Simba 9,Al Ahaly 10. Mark my words.AS Vita akija DSM anatoa droo tu inamtosha kufuzu kwa kuwa alipiga goli 5 (head to head) na ndio decision criteria timu zikilinganisha points
Sent using Jamii Forums mobile app