THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Zilipendwa!!
Kunywa Maji mengi mkuuUle ni Mpiraa au FUTUHIII? mechi imekosa msisimko, soon Ligi itakosa Mvuto tunarudi kuleeeeeee!
anyway wenye akili ni wawili tu huwezi kuelewa madhara ya kinachofanyika.
π€£π€£π€£πππImekua ni utaratibu kwa Mashabiki wa Simba kua na wivu wakiona Team za Ligi kuu zinafungwa kama wao.
Yani wanatamani sana zile 5 walifungwa wao zibaki wao tu wawe wa kipekeee
Kama haijakusisimua njoo huku Bon'goankusweke ndani ndani nikusisimueUle ni Mpiraa au FUTUHIII? mechi imekosa msisimko, soon Ligi itakosa Mvuto tunarudi kuleeeeeee!
anyway wenye akili ni wawili tu huwezi kuelewa madhara ya kinachofanyika.
Akijibu Ni-TagππππKama haijakusisimua njoo huku Bon'goankusweke ndani ndani nikusisimue
ππππImekua ni utaratibu kwa Mashabiki wa Simba kua na wivu wakiona Team za Ligi kuu zinafungwa kama wao.
Yani wanatamani sana zile 5 walifungwa wao zibaki wao tu wawe wa kipekeee...
Yatasema na menyewe yanataka ubingwaπMpira anaopiga Yanga, unahitaji kuwa kichaa tu ili kuwakataa.
Poleni lianzishien UZI!ππUshindi wa Yanga unatupa tabu sana sisi makolo fc, hasa lile goli la 5 la max
AsanteUkishakufa.
Kesho yataamuka na issue ya wadhamini!ππMakolo Kwa sasa wengi wamekata moto...vibanda umiza hawaji kabisa yaani kiufupi hawana furaha na timu Yao.