Simba Tunaanza kujadili saa ngapi Magoli ya Yanga dhidi ya IHEFU?

Simba Tunaanza kujadili saa ngapi Magoli ya Yanga dhidi ya IHEFU?

Kama haijakusisimua njoo huku Bon'goankusweke ndani ndani nikusisimue
Una mental case Mkuu, endapo unashindwa kucontrol Eggo na Emotional yako totaly wewe sio binadamu kamili. Ulichojibu tayari kinatafsiri wewe ni mtu wa ina gani? Na unapaswa kujibiwa na Mtu wa karba ipi na hapo ndipo ule usemi wa Lucy Ema na Manara Jr unajidhihirisha.
 
Una mental case Mkuu, endapo unashindwa kucontrol Eggo na Emotional yako totaly wewe sio binadamu kamili. Ulichojibu tayari kinatafsiri wewe ni mtu wa ina gani? Na unapaswa kujibiwa na Mtu wa karba ipi na hapo ndipo ule usemi wa Lucy Ema na Manara Jr unajidhihirisha.
Siingilii ila jamaaa kakujibu coz we mwenyewe umetoa zihaka mwishon....je we kwenye kutoa jibu lako kwa Uzi wangu ulitumia Akili au EGO coz haujaja na Facts bali blabla..usitake huruma na kuonekana we mstaarabu sana wakat we ulijibu kitu kibaya.

RAI;Tujiepushe na majibu ya dharau sio mazuri at all na mi hua sipend ila ukijibu bila akili na na ukatumia hisia zaidi basi usichagulie watu jibu lakukupa.
 
Ule ni Mpiraa au FUTUHIII? mechi imekosa msisimko, soon Ligi itakosa Mvuto tunarudi kuleeeeeee!
anyway wenye akili ni wawili tu huwezi kuelewa madhara ya kinachofanyika.
FB_IMG_1708800071658.jpg
 
Ule ni Mpiraa au FUTUHIII? mechi imekosa msisimko, soon Ligi itakosa Mvuto tunarudi kuleeeeeee!
anyway wenye akili ni wawili tu huwezi kuelewa madhara ya kinachofanyika.
Mjiandae kwa wiki kwenye raundi ya pili, ili kuwakata kabisa hivi vilimi limi vyenu.
 
Nilikuwa hapo Msimbazi jioni, kwa kweli hali yetu si nzuri kila mwanachama alikuwa anasonya tu...
 
Back
Top Bottom