Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
AahaaaaaTano na yanga nyie.
fukuza kocha nyie.
mashabiki kususia mechi nyie.
taree 25 mnapigwa tena nyie
jezi nyie.
ujinga nyie.
sasa sisi tuwasaidiaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AahaaaaaTano na yanga nyie.
fukuza kocha nyie.
mashabiki kususia mechi nyie.
taree 25 mnapigwa tena nyie
jezi nyie.
ujinga nyie.
sasa sisi tuwasaidiaje?
Hujaona mkono ule kuwashika matako? 🤪Vitu vingine bwana sasa hzo jezi za simba zina makosa gani
Na tako unashikwa juu 🤪Yaani unavaa jezi unahisi umevaa box la sabuni za Mo. Usenge huu
Jezi ni nzuri tatizo matangazo logo za Mo nyingi sana halafu mikubwaVitu vingine bwana sasa hzo jezi za simba zina makosa gani
Naskia miaka ijayo wachezaji wote watalazimishwa kuchora tattoo ya mwamedi [emoji23]Bado kidogo Mo ataweka picha yake kabisa hapo mbele kwenye jezi.
MashaAllah!!! Tangazo la mwekezaji linaonekana kwa uzuri.Wewe haujauona mkono kwani au wewe sio mwana Simba? 🤪 Kuna mkono kwenye tangazo la chini na mkono ule unaonekana unagusa tako za kila mwanasimba atakaevaa Jezi 😆
Angalia tangazo la chini huo mkono umegusa nini?
View attachment 2822011
Mkuu ndo maana nikauliza hayo matangazo yote analipia?inawezekana Bil 20 kaweka sawa lakini matangazo kama hayo anayafanya free ,na ingekuwa mdhamini mwingine je? Matangazo ya Mo yanafunika hata ya MBET ya kifuaniJersey yote ina matangazo ya Mo
1MO EXTRA
2MO EXTRA
3 MO INSUARANCE
4MO SPORTS
5 MO CLEAN
6 MO FOUNDATION
Huyu choli choli analipa kiasi gani?
Ila Mwamedi anapenda sifa sana huyu anaweza kuwa analipa ili aandikwe yeye bilionea
Yeye ni Rais wa Simba ,mwekezaji, je hayo matangazo yote anayalipia bila chupri chupri? Halafu inakwaje aje kusema anapata hasara Simba kama hayo matangazo yote anayafanyaKama kitu hujui kina maana gani ni bora kuuliza kuliko kukurupuka, kwamba hujui kwa nini matangazo yako kwenye jezi [emoji848][emoji848] hata yangejaa jezi yote shida iko wapi [emoji848][emoji848] au hujui kama matangazo ni pesa [emoji848][emoji848] hivi jezi za timu zote ulaya umeshaziona kweli[emoji848][emoji848] jezi ya Al Ahly umeshaiona[emoji848][emoji848] tulia utopolokwinyo