Simba tunafeli kwenye suala la jezi. Kwanini matangazo mengi?


Wala hata halipi chochote.
 
Mngempa support Khamis Kigwangala kipindi kile alivyohoji muundo wa uwekezaji wa mudi pale simba msingefika huku, tatizo kwa wakati ule mlikua kwenye mahaba mazito mkashindwa kuona mbali. Kwa kifupi timu yenu ishakua mali ya mudi na hamna cha kufanya.
 
Mkuu ndo maana nikauliza hayo matangazo yote analipia?inawezekana Bil 20 kaweka sawa lakini matangazo kama hayo anayafanya free ,na ingekuwa mdhamini mwingine je? Matangazo ya Mo yanafunika hata ya MBET ya kifuani

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nadhani ifike mahali muuamini uongozi wenu. Mnafikiri hauyaoni hayo? Kama sivyo hudhani kwamba wanajua nini kinaendelea na kwahivyo wanajua faida ipo?
Mwenyekiti wenu Mangungu yuko pale kuwakilisha upande wa wanachama, unafikiri ameruhusu hayo bila kujua kuwa kuna namna klabu inafaidika!?
 
Ukiangalia vibaya lile li Mo Extra likubwa unaweza dhani ni TRA. Mwanzo kwenye ile introduction clip nilijua Simba kadhaminiwa na mamlaka ya mapato Tanzania TRA aiseeh. Anyways tusubiri mpira uwanjani
 
Thamani ya nembo moja ya Sandaland ni pesa ngapi? Mo ameweka nembo ngapi kwenye jezi? ambazo ni sawa na pesa ngapi? Inakuaje kila siku anasema Simba inampa hasara hapati faida, tangu lini kainunua Simba?
 
Kwa mwitikio huu hii jezi inawadodea Sandaland.
 
Ukiangalia vibaya lile li Mo Extra likubwa unaweza dhani ni TRA. Mwanzo kwenye ile introduction clip nilijua Simba kadhaminiwa na mamlaka ya mapato Tanzania TRA aiseeh. Anyways tusubiri mpira uwanjani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu ndo maana nikauliza hayo matangazo yote analipia?inawezekana Bil 20 kaweka sawa lakini matangazo kama hayo anayafanya free ,na ingekuwa mdhamini mwingine je? Matangazo ya Mo yanafunika hata ya MBET ya kifuani

Sent using Jamii Forums mobile app
Mdhamini kujaza matangazo yake ni tatizo sababu kunakua na conflict of interest
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…