Simba tufanye mambo haya;
1. Kudhibiti kambi yetu.
2. Kuhakikisha uchawi wa Yanga tunautegua.
3. Viongozi wa Simba wawe na ushirikiano.
Mwisho, Simba tukifanikiwa kudhibiti katikati na pembeni tunashinda. MHM simba tuwe na discipline ya kucheza katikati pia kuhakikisha hatuachi space kubwa kwasababu Yanga wanapiga wengi kwa mipira ya mbali.
Tuhakikishe Aziz Ki hatumpi nafasi ya kupiga hata dakika moja.
1. Kudhibiti kambi yetu.
2. Kuhakikisha uchawi wa Yanga tunautegua.
3. Viongozi wa Simba wawe na ushirikiano.
Mwisho, Simba tukifanikiwa kudhibiti katikati na pembeni tunashinda. MHM simba tuwe na discipline ya kucheza katikati pia kuhakikisha hatuachi space kubwa kwasababu Yanga wanapiga wengi kwa mipira ya mbali.
Tuhakikishe Aziz Ki hatumpi nafasi ya kupiga hata dakika moja.