mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Kwani ni mara ngp simba inagomea mechi sababu ya viporo vya yanga...?mimi habari ya kaandika muda gani.. Mechi gani?mkuu ngumu sn...labda ningekuwa nakodisha baiskeli...ningekuwa na uzoefu huo
Hebu tutajie viporo hivyo vya game 5 ambavyo Yanga ilishawahi kuwa navyo!?