Simba uwanja huu hapa

Simba uwanja huu hapa

Hivi kampuni ya simba imekamilika kwa mtaji wa hisa wa jumla ya sh ngapi? Hivi kuna wanahisa kwa majina wangapi, wanachama na mwekezaji? mi sielewi knachofanyika, sisi mashabiki tunaichangia kanpuni ambayo faifa ya uwanja watakuja kugawana kina mo
 
Yaani mwanamke mwenye kibuli ndo kakiuka utaratibu wa uwanjani hadi kawajaza upepo mnaanza kuchangishana? Kweli wahindi wanawaendesha aisee[emoji1787][emoji1787]
 
Baby baada kutolewa nje, kesho mwenye baby wake katangaza harambee ya uwanja.
 
NAOMBA KUULIZA HIVI KUNA TIMU KUBWA DUNIANI HUKO ULAYA KULIKOENDELEA WAMETENGENEZA VIWANJA VYAO KWA MICHANGO NA FEDHA MASHABIKI?
Tatizo lenu hamtaki kujifunza kutoka kwenu ,mwunawaona wazungu ndio wanaakili sana.. Kwangu mie tuwapongeze ssc kwa huu ujasiri baada ya kuwabeza. Unforturnately hata mabadiliko nyie mliwabeza then mkawaiga naona hata hili mtaichukua
 
KWA HIYO NDIO MNAFUATA NYAYO ZAO? KULE ULAYA HUKU BONGO

ANYWAYS TUSUBIRI
Umejibiwa umehamisha goli eti kule ni Ulaya wakati hoja yako ya kwanza ilikuwa ni kuitumia Ulaya kama kivuli kwamba haijawahi kutokea Ulaya basi huku haiwezekani
[emoji23][emoji23] Msikalili uzungu ninyi mtaumia
 
NAOMBA KUULIZA HIVI KUNA TIMU KUBWA DUNIANI HUKO ULAYA KULIKOENDELEA WAMETENGENEZA VIWANJA VYAO KWA MICHANGO NA FEDHA MASHABIKI?
Mwanzo wanaanza hizo timu za ulaya zilikua zinajengewa kwa michango ya wananchi au wanachama na mashabiki. Usiangalie walipo leo angalia walipotoka. Ndio maana kule mashabiki wanaheshimiwa mno
 
Mmambo machache ya kujipanaga kupata Pesa ya Kutosha kusimamaisha uwanja wake

1. Mageti ya uwanja haya yote yawe sokoni kwa mkataba wa miaka 3 - 10
2. Majukwaa yote yawe sokoni kwa Mkataba wa miaka 3 - 10
3. Harambee mikoa yote Tanzania target M. 100 - 500
4. Michango ya Wanachama na wapenz wa timu
5. Mnada vitu mbalimbali vya simba , Jezi ya King kibaden , hussein Masha ,Matola etc
6. Kutoa motisha wale waliochangia kiasi kikubwa mf certifacate
7. Pesa ya maana ni kuweka sokoni Jina la Uwanja kwa mkataba wa miaka 3 - 10, mf, Chapashuka Stadium

NGUVU MOJA
GSM stadium mtakubali au mtachimba maana mzigo anao wa kutosha
 
Simba wangeingia contract ata na kampuni wakapewa mkopo au wakajengewa uwanja. Uwanja ukawa named kwa jina la kampuni kwa kipindi cha muda fulani.

Au waingie mkataba na kampuni mfano benki ikawapa mkopo au katika kila mauzo ya tiketi zao watachukua asilimia kadhaa kwa kipindi cha muda fulani.
Huo mkopo ungewasaidia kuulipa au unashauri wakope huku huhusiki kuwasaidia kulipa?
Hivi kipi bora kujenga nyumba kwa pesa zako binafsi au za mkopo ?

Jibu swali
 
Omba omba Fc, mnataka kuwachangisha watanzania ili Babra aweze kuingia uwanjani bila kufuata taratibu husika.
Tunachanga ili na wewe kabwili uingie uwanja wa watu walioichangia simba upo
 
NAOMBA KUULIZA HIVI KUNA TIMU KUBWA DUNIANI HUKO ULAYA KULIKOENDELEA WAMETENGENEZA VIWANJA VYAO KWA MICHANGO NA FEDHA MASHABIKI?

Acha ufala wewe! Siyo kila kitu cha wazungu huko ulaya tuige!
Hata na hivyo huko ulaya hivyo viwanja hata kama havikujengwa na fedha za mashabiki direct, ujue kuwa hizo timu kama ziliingia mikataba ni kwa kukopeshwa wakijua kuwa mashabiki hao hao ndio watakaolipa kwa viingilio vyao, kununua vifaa vya hizo timu n.k
Kwa hiyo nyie mitopolo kwa akili zenu mnaona kinachofanywa na simba ni uzwazwa!
Kwa kifupi nyie miutopolo ndio mazwazwa kabisa, kama nyie mnaweza kujenga uwanja kwa fedha zenu wekeni basi hata nyasi bandia pale kaunda!
 
Huo mkopo ungewasaidia kuulipa au unashauri wakope huku huhusiki kuwasaidia kulipa?
Hivi kipi bora kujenga nyumba kwa pesa zako binafsi au za mkopo ?

Jibu swali

Mkiambiwa mkasome mnakimbia umande matokeo yake ni aya.

Uwanja ni chanzo cha mapato, kama chanzo cha mapato kitashindwa vipi kulipa mkopo?

Man city uwanja wao wamejengewa na Etihad, arsenal fly emirates na makampuni yamechukua naming rights.

Madrid wanapanua uwanja wao kwa fedha za mkopo.

Shirikisha ubongo wako kufikiri
 
Back
Top Bottom