Simba vs Mbeya City: kutoka Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Simba vs Mbeya City: kutoka Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

mkuu Amavubi ukiwa umelala uku umesimama ulifanikiwa kuota hata ushindi wa mechi ijayo?
 
Last edited by a moderator:
SIRI YA MAHAKAMA YA KADHI YAFICHUKA
Utangulizi
Kwa muda mrefu sasa, “wenzetu katika imani” wamekuwa wakiishinikiza Serikali iweke katika Katiba ya Tanzania kipengele chenye kuitambua rasmi Kadhi Courts (Mahakama ya Kadhi). Hata hivyo LENGO la uwepo wa Mahakama hizi za Kadhi kwenye Katiba siyo kutambulika kisheria kama wanavyodai, bali ni ili Umma wa Watanzania (wenye dini na wasio nazo) ubebe gharama ya kuziendesha (Operation costs). Baada ya utangulizi huu, tunaomba kurudi kwenye mada kuu ‘Siri ya Mahakama Ya Kadhi Yafichuka’ili ijulikane kuwa Mungu pekee ndiye mwenye siri, na si wanadamu.
Siri ya Mahakama ya Kadhi
1. Kwamba, baada ya kelele za muda mrefu za Waislamu kudai kuwa Serikali inawaonea, na haiwapi fursa za elimu kwa usawa, Serikali ya Awamu ya tatu (Benjamin Mkapa), aliwapatia bure majengo ya kilichokuwa Chuo cha Tanesco – Morogoro, ambapo Waislamu walikifanya kuwa Chuo
Kikuu cha Kiislamu Tanzania.
2. Kwamba kwa sasa wahitimu wengi wa Chuo Kikuu hiki wapo mitaani bila ajira (hasa waliosomea ‘Elimu Ahera’), na mlango pekee wa kuwapatia ajira serikalini ni kwa kuanzisha MAHAKAMA ZA KADHI, na ambapo kila Kata, Tarafa, Wilaya na Mkoa maelfu ya hawa ‘wenzetu katika imani’ wataajiriwa.
3. Kwamba utafika wakati ambapo ‘wenzetu katika imani’ wataamua, ama kupeleka mashauri yao ya ndoa/mirathi kwenye Mahakama za Serikali (ambazo wataziita ni “Mahakama za Makafri”) au kwenye Mahakama za Kadhi.
4. Kwamba popote pale penye Mahakama ya Mwanzo (kwenye Kata, Tarafa au Mahakama za Wilaya na Mikoa Tanzania), LAZIMA Kadhi awepo pia. Hii inamaanisha kuwa, hata kama Kijiji/Kata au Tarafa haina muislamu hata mmoja (na jambo hali hii lipo maeneo mengi Tanzania Bara), lakini almradi ipo Mahakama ya Serikali mahali hapo lazima Kadhi ataajiriwa kukaa mahali hapo kwa gharama ya serikali, kwa nchi ya ‘TANZANIA ISIYO NA DINI’.
5. Kwamba Gharama za Kadhi kwenye haya maeneo (mishahara na marupurupu mengineyo) ni za Serikali ya Tanzania. Maana yake, Serikali itakusanya Kodi za Waislamu, Wakristo na Wasio na dini ili kulipa mishahara ya Makadhi wa Dini moja tu (Islam) – kwa sababu inatambuliwa na Katiba ya Tanzania.
HITIMISHO.
1. Kwa sasa Hayupo Mtanzania mwenye imani na wanaoitwa ‘MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI’, kwa kuzingatia historia yao, na jinsi wanavyopotosha umma kwa minajili ya kuwafurahisha wakubwa zao waliowateua. Kawaida ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni kuuwasha moto, lakini ukeshakolea hukaa pembeni kwa kisingizio kuwa ‘Ushauri wangu haukueleweka vizuri’. Ndiyo maana Tunamtahadharisha Ndugu George Masajo (Mwanasheria wa Serikali wa sasa) asiwashe moto wa kuliteketeza taifa la Tanzania na ambao siyo rahisi kuja kuzimika hata baada ya kizazi cha nne kijacho pale machafuko ya UDINI kila kona yakeshaanza Tanzania.
2. Rais Mh. Dr. Jakaya Kikwete, kilinde kiapo chako kwa Katiba kwa sababu yatosha sasa kuona unaendelea kuisigina Katiba iliyoweka Tanzania isiyo na dini kuwa taifa la mfano kwa umoja, uhuru, amani na utulivu hapa Afrika. Yatosha kuona mauaji ya maaskofu, mapdri, wachungaji na mashekhe kumwagiwa tindikali.
3. Tunawashauri Wabunge, waachane kabisa na mtego wa CCM wa kujipatia kura kwa gharama ya damu za Watanzania. Ni mtego kwa Wabunge wanaotaka kudumisha madaraka yao kwa kura za Waislamu mwaka huu 2015, hao ndio watajipendekeza kuunga mkono mswada huu wa hatari.
Tanzania ni zaidi ya madaraka / au cheo cha Rais/Mbunge au Mwanasheria Mkuu. Tanzania si jalala la kufanyia majaribiio ya mfumo ambao utatugawa mapande mawili. Wapo watu wanashabikia jambo hili kwa kuwa watafaidika kwa hizi ajira za mfumo wa Mahakama ya Kadhi. Wapo wanaotolea mifano ya Uganda au Kenya lakini wanasahau hizi ni nchi zinakuja kujifunza kwetu namna ya kujenga umoja wa kitaifa. Waziri Mkuu (Mh. Mizengo Pinda) hata kwa ziara yake Uarabuni, hajaweza kubainisha kama ipo nchi aliyotembelea mwaka jana 2014 yenye mfano wa amani, mshikamano, usawa wa kijinsia kama Tanzania pamoja na kuwepo kwa Mahakama za Kadhi lukuki huko Uarabuni.
Tujikumbushe: Ombi la Kwanza la kupatiwa Chuo Kikuu cha Kiislamu lilifanikiwa (Awamu ya 3), Ombi la Pili la Mahakama ya Kadhi kwenye Katiba (Awamu ya 4), na hatujui Ombi la Tatu la “Sharia za Kiislamu kwenye Katiba” litamuangukia rais wa Awamu ipi. Uzoefu ni kuwa Ombi moja la Waislamu huzaa ombi linalofuata kwa mtiririko wake. Mwisho, Tunaungana na nia njema ya Jukwaa la Wakristo na Wadau wengine, wanaopendekeza Mahakama za Kadhi endapo zikianzishwa kikatiba zijiendeshe 100% kwa gharama ya Waislamu wenyewe. Mungu Ibariki Tanzania iendelee kuwa nchi isiyoegemea Dini au Sera za Udini.

konyagi bana,huu uz uku wanin tena,tunawashaur kila siku Dada zetu msiingie jf mkiwa mmelewa hamskii ona sasa upuuz wako unaonekana hadharani
 
ili mwanadamu asipate kulijua neno lo lote litakalofuata baada yake.

Mbeya City vs Yanga ....................................

Hawa Yanga watachapwa sana hawajielewi tu

Yaani hawajui kuwa kufungwa kwa simba hakuifanyi yanga kuwa timu nzuri

cc Makoye Matale
 
Last edited by a moderator:
yaani kila nikilala kifudifudi naona jinsi penati inavyogonga mwamba, halafu namuona Manyika akimlaza mtu, ni kama vile nikisimama napata ahueni (sioni mauzauza)

Manyika Jr ni kipa mzuri lakini apewe mechi za kucheza, siyo kila mechi. Nimekuwa nikiwashangaa Simba timu imekuwa ikicheza bila ya kuwa na golikipa. Ni sawa na mtu una UKIMWI halafu hakuna magonjwa nyemelezi, utaendelea kupeta na kujidai kuwa una afya njema, siku magonjwa yakikukuta ndipo utajua kuwa huna kinga mwilini, matokeo yake ni 'CARRASS'. Kulikuwa na ulazima gani kwa Manyika kudaka ile miguu, mpira ulikuwa umefika impossible angle, mabeki walikuwa pale! Ile penati ni ya kujitakia kabisa. Goli la kwanza alilofungwa ni kukosa uzoefu na concentration mchezoni.

Poleni sana.
 
Acha umbea....

Wakilipwa wasipolipwa wewe zinakuwasha nini?

Mwanaume ukiwa mbea kama wewe watakuvisha shanga na khanga alafu.....


Kwani mipasho hata huku sports ipo?


Huku ni free stress forum,sio siasani

Utani kwa timu pinzani ni jambo la kawaida tu,sasa kama unachukulia kila utani serious, basi rudi siasani kule.


Mbona wenzio kina Amavubi,sembo,mkolaj na wengine hawabehave kama Wewe?
 
Mkuu matatizo ya yanga na simba hayana tofauti sana

Tusubiri tu mkuu

Ila kama tunataka kuendelea kisoka mfumo wa uendeshaji wa hizi timu inabidi ubadilike

Tofauti ni kubwa sana. Simba mnasuka upya timu yenu kama vile Arsenal, sisi tunasonga mbele kama Chelsea au Barcelona. Yanga ina pointi 18 na michezo mitatu mkononi kabla ya nusu msimu huu, Simba ina pointi 13 na michezo miwili mkononi. Mkuu huoni tofauti hizi au unazipuuzia tu?
 
Tofauti ni kubwa sana. Simba mnasuka upya timu yenu kama vile Arsenal, sisi tunasonga mbele kama Chelsea au Barcelona. Yanga ina pointi 18 na michezo mitatu mkononi kabla ya nusu msimu huu, Simba ina pointi 13 na michezo miwili mkononi. Mkuu huoni tofauti hizi au unazipuuzia tu?

Mkuu...siongelei haya mambo ya hii ligi

Naongelea matatizo ya kimfumo ya hizi timu.
 
ImageUploadedByJamiiForums1422546674.405487.jpg
 
Tofauti ni kubwa sana. Simba mnasuka upya timu yenu kama vile Arsenal, sisi tunasonga mbele kama Chelsea au Barcelona. Yanga ina pointi 18 na michezo mitatu mkononi kabla ya nusu msimu huu, Simba ina pointi 13 na michezo miwili mkononi. Mkuu huoni tofauti hizi au unazipuuzia tu?

Msimu uliopita Arsenal walichukua FA Cup, tofauti na Chelsea au Barcelona ambao waliotoka mikono mitupu.

Msimu uliopita Simba Sc tulishinda Ngao ya mtani jembe, Yanga mlitoka kapa.. [nipo tayari kusahihishwa]

Mpaka sasa Simba ana makombe mawili [mtani jembe na mapinduzi cup] lakini Yanga hana kitu na ligi hata mzunguko wa kwanza haujaisha.

Nawasilisha.
 
Uwiiii mmenichekesha sana heee kumbe kuna watu walilala, huku wamesimama? makubwa haya pole sana.
Where is MEANDU?
Najua hujaumia sana, ulipozwa na the blues.
 
Last edited by a moderator:
Msimu uliopita Arsenal walichukua FA Cup, tofauti na Chelsea au Barcelona ambao waliotoka mikono mitupu.

Msimu uliopita Simba Sc tulishinda Ngao ya mtani jembe, Yanga mlitoka kapa.. [nipo tayari kusahihishwa]

Mpaka sasa Simba ana makombe mawili [mtani jembe na mapinduzi cup] lakini Yanga hana kitu na ligi hata mzunguko wa kwanza haujaisha.

Nawasilisha.

Akili za wanambumbumbu ni za ajabu kweli. Yanga wamemaliza kwenye nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa halafu unaringishia mtani jembe? Rage alikuwa sahihi mno
 
Msimu uliopita Arsenal walichukua FA Cup, tofauti na Chelsea au Barcelona ambao waliotoka mikono mitupu.

Msimu uliopita Simba Sc tulishinda Ngao ya mtani jembe, Yanga mlitoka kapa.. [nipo tayari kusahihishwa]

Mpaka sasa Simba ana makombe mawili [mtani jembe na mapinduzi cup] lakini Yanga hana kitu na ligi hata mzunguko wa kwanza haujaisha.

Nawasilisha.
Hivi huu utakuwa msimu wa ngapi bila kushiriki mashindano ya kimataifa watani!!!!
Au mnaiogopa libolo fc??
 
Uwiiii mmenichekesha sana heee kumbe kuna watu walilala, huku wamesimama? makubwa haya pole sana.
Where is MEANDU?
Najua hujaumia sana, ulipozwa na the blues.

hahahahah unamatani wewe Bantu lady. Jana nilikuwa na majukumu mengine hivyo nimekuja kufuatilia matokeo mechi imeisha. Ila matokeo sijayashangaa sana. Ifike kipindi watu wajue mpira siyo propaganda na vyombo vya habari. Simba wanategemea sana magazeti wakati hawana mipango yoyote ile ya ushindi. Hebu soma gazeti la simba hapo chini kwenye chini. Yaani hata kukosa penati ni hujuma. what a shame?

DSC08795.jpg
 
Akili za wanambumbumbu ni za ajabu kweli. Yanga wamemaliza kwenye nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa halafu unaringishia mtani jembe? Rage alikuwa sahihi mno

Mnafaida gani wakati,
1. mnatolewa raundi ya kwanza tu na wanajeshi wa Botswana
2. mtatumia hela kibao kwa kitu ambacho hamtafika popote.

Ushauri wangu mjitoe tu, ili kuepuka aibu.
 
Hivi huu utakuwa msimu wa ngapi bila kushiriki mashindano ya kimataifa watani!!!!
Au mnaiogopa libolo fc??

Haya ni mapito tu, ila mda si mrefu tunarudi kwenye nafasi yetu.
Mtani mmejitahidi kweli kushiriki mashindano haya ya Africa kipindi sisi tupo benchi.
Katka miaka yote hiyo ni hatua gani kubwa mliyofikia? Na mmefaidika nini, ambacho sisi tumekosa?
 
Back
Top Bottom