Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ni mapito tu, ila mda si mrefu tunarudi kwenye nafasi yetu.
Mtani mmejitahidi kweli kushiriki mashindano haya ya Africa kipindi sisi tupo benchi.
Katka miaka yote hiyo ni hatua gani kubwa mliyofikia? Na mmefaidika nini, ambacho sisi tumekosa?
Wewe Aveva, inamaana hautambui hata faida ya kushiriki katika michuano kama ile?
Kama ukiwa unashiriki ukijitahidi sana unaishia raund ya 2, unapata faida gani? Nitashukuru ukinitoa tongotongo.
Kila hatua utakayo fikia katika michuano hiyo, kuna kiasi cha fedha ambacho club inapata.
Je ni bora kushiriki upate kitu au usishiriki ukose kitu.?
Msimu uliopita Arsenal walichukua FA Cup, tofauti na Chelsea au Barcelona ambao waliotoka mikono mitupu.
Msimu uliopita Simba Sc tulishinda Ngao ya mtani jembe, Yanga mlitoka kapa.. [nipo tayari kusahihishwa]
Mpaka sasa Simba ana makombe mawili [mtani jembe na mapinduzi cup] lakini Yanga hana kitu na ligi hata mzunguko wa kwanza haujaisha.
Nawasilisha.
Umemsahau Jaja eeh! Kawaulize Azam watakueleza tulipata nini siku ile.
kufungwa kubaya sana aisee ona huyu naye maskin ya mungu hajielew elewiMpaka sasa..
Simba 2 Yanga 1 [dk 40].
Viroba bila kulaMpaka sasa..
Simba 2 Yanga 1 [dk 40].
kufungwa kubaya sana aisee ona huyu naye maskin ya mungu hajielew elewi
Mi nilishaachaga hivyo[emoji2] [emoji2]
Eliasi Maguli ailfanywa nini na mchezaji Mbeya City.?
Soma gazeti la leo la michezo.
Mechi inayokuja atafanyiwa kocha Golan.