Simba vs Mbeya City: kutoka Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Ibrahim Ajib anaipatia Simba goli la kuongoza...
 
Hawa mbeya city sijui wanachezaje!!! yaani utafikir wanacheza daraja la kwanza. itashuka daraja tu mwaka huu.
kwani ile nguvu yao ya mwaka jana imepotelea wapi...
 
Tupeni raha Mbeya Cityyyyyyyyyyyyyyy ndaga fijo
 
Huyu kipa wa mbeya city hovyo kabisa, mbeya city kwa uchezaji huu mtashuka daraja tu mwaka huu.Haya mambo yakutaka wachezaji wote wawe wa kutoka mbeya yatawacost tu.
 
Hawa mbeya city sijui wanachezaje!!! yaani utafikir wanacheza daraja la kwanza. itashuka daraja tu mwaka huu.

Msimu uliopita, Mungu alikuwa nao tu, hawakuwa na mpira wa kuvutia, ni butua butua!
 
Mkude kapiga mtu kipepsi, mikia mnasemaje?

Ngoja tuwasubiri mikia watasema chochote.

Lakini kama mwanasimba niweke wazi tu kwamba mchezo wa kihuni si jadi ya Simba. Binadamu mara nyingi hujifunza mambo mazuri na mambo mabaya huiga endapo itaonekana kwamba kuna watu wamekuwa wakifanya mabaya hawachukuliwi hatua zozote. Mimi siangalii live nasikiliza redioni kama kweli kampiga mtu kiwiko hajafanya jema.
 
Huyu kipa wa mbeya city hovyo kabisa, mbeya city kwa uchezaji huu mtashuka daraja tu mwaka huu.Haya mambo yakutaka wachezaji wote wawe wa kutoka mbeya yatawacost tu.
kafanyaje kwani!!!!!
 
kwani ile nguvu yao ya mwaka jana imepotelea wapi...

Hakika hii si timu ya kuchezea ligi ya vodacom, inacheza hovyo kabisa. Simba wakicheza vizuri wanaweza kupata ushindi mnono tangu ligi ianze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…