Simba vs Mbeya City: kutoka Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Simba vs Mbeya City: kutoka Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Simba akichapa mtu huwa siyo habari njema kwetu hata kidogo, huwa tunajikuta tunazongwa, tunazomewa na hawa mashabiki wa mikia ndiyo maana hatupendi kabisa kuona mnyama akichapa mtu.

Rekodi ya Simba itatubeba tu kwani wataruhusu bao hilo kuchomolewa na kuongezwa la pili.

Mkuu matokeo vipi huko?
 
Mla, mla leo mla jana kala nini?
Haitusumbui hiyo 5 kitu gani, Brazil ilibugizwa ngapi?


Hahahahahahah....karibu binti....nafurahi umekuja

Nilikua sikuoni humu binti yangu...tutizame kabumbu
 
Hawa simba wakishinda tu kelele mpaka chooni,
bora wafungwe au watoke sare.
 
Hahahahahahah....karibu binti....nafurahi umekuja

Nilikua sikuoni humu binti yangu...tutizame kabumbu

Mngekuwa mmefungwa, wala msingekuwa kwenye huu uzi.
Ila mnaongoza hiko kimoja, unafurahiii, mimi naomba mgawane tu point hapa.
Simba ukawa oyeeeee!!!
 
Hahahahahahah....karibu binti....nafurahi umekuja

Nilikua sikuoni humu binti yangu...tutizame kabumbu

Halafu hawa watu hawajiamini mbona wameadimika hapa jamvini leo kulikoni.
 
Natamani niangalie game ya tp mazembe vs azam fc lakini nataka nione goli ya mbeya city ya kuchomoa.
 
Natamani niangalie game ya tp mazembe vs azam fc lakini nataka nione goli ya mbeya city ya kuchomoa.

Ungeangalia tu, huku Simba watakuharibia, maana Mbeya City watachomekwa kingine.
 
Brazil walipigwa saba tena kwao, ila nafikiri rangi ya T-shirt zao ilichangia.

Hahahahaaa hamna si rangi, bahati haikuwa yao. Pia kocha aliacha watu ambao wangetusogeza.
Heeee mimi naye nina matimu kibao, moyo wangu umetoboka toboka kwa maumivu ya mpira loh!!!
 
Hahahahaaa hamna si rangi, bahati haikuwa yao. Pia kocha aliacha watu ambao wangetusogeza.
Heeee mimi naye nina matimu kibao, moyo wangu umetoboka toboka kwa maumivu ya mpira loh!!!

Hivi Bafana Bafana na yale majezi yao huwashabikii kweli?
 
Mungu tunaomba utoe baraka zako ili simba iendelee kutoa draw au kufungwa kama kawaida na desturi yake mpaka ligi kuisha
 
Back
Top Bottom