Simba VS Ndanda: Updates

Kipindi cha pili Ndanda wameacha kabisa kucheza mpira. Wanawapa Simba pasi, ni shida. Ingekuwa ni Yanga hakika leo tungemwona Manara akilialia kwenye tv
 
Timu nzima imechoka tangu kuanza kipindi cha pili
 
Kipindi cha pili Ndanda wameacha kabisa kucheza mpira. Wanawapa Simba pasi, ni shida. Ingekuwa ni Yanga hakika leo tungemwona Manara akilialia kwenye tv
Kuna jamaa anakiwanda cha kutengeneza maji na kiongozi mmoja wa chama cha mpira Ntwara wanahusika sana kwa ushindi wa Leo pongezi zao ndio mpira wetu huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…