Simba vs Planteau: Napendekeza iwe sharti kuwa hakuna kuingia bila jezi za Simba

Simba vs Planteau: Napendekeza iwe sharti kuwa hakuna kuingia bila jezi za Simba

Au mfanye kwamba kama mtu hana kadi ya uanachama ya timu asipate tiketi
 
Naomba uongozi wa Simba hii mechi inayokuja watangaze kabisa kabla watu hawajanunua tickets kwamba hakuna kuingia bila jezi ya Simba au nguo nyekundu, itangazwe kwamba hakuna kuingia ukivaa njano, hatutaki wasaliti kwenye mechi hii.

Ijulikane mapema kama utavaa njano huingii getini, wapo wahuni watavaa Simba kwa juu wakiingia watavua, wajulishwe njano ikionekana uwanjani unatolewa, mechi ya Simba halafu wavae madera ya njano na kijani kushangilia wageni.
Ujinga huu
 
Kuna asilimia za timu ya ugenini kuingiza mashabiki wake...hizo asilimia ndio tutaingia sisi mashabiki wa plateau
 
Naomba uongozi wa Simba hii mechi inayokuja watangaze kabisa kabla watu hawajanunua tickets kwamba hakuna kuingia bila jezi ya Simba au nguo nyekundu, itangazwe kwamba hakuna kuingia ukivaa njano, hatutaki wasaliti kwenye mechi hii.

Ijulikane mapema kama utavaa njano huingii getini, wapo wahuni watavaa Simba kwa juu wakiingia watavua, wajulishwe njano ikionekana uwanjani unatolewa, mechi ya Simba halafu wavae madera ya njano na kijani kushangilia wageni.
Mkuu unajua wale wanaijeria pia wana nafasi zao za mashabiki? Sasa itakuwaje na wao wavae nyekundu?
 
Keshokutwa nitaingia uwanjani kwa Mkapa na Mkasi maalum kwa ajili ya kuzichana jezi zote za Njano na kijani.
Kwenye game za mtani tumeshuhudia wanachokifanya kwa mashabiki wanaovaa jezi nyekundu, sisi tunalipa ubaya kwa ubaya.

Pia figisu walizofanya Plateu kwao nasi tutafanya mara kumi Japo mechi itaonyeshwa kama kawa.
 
Plateau nao ilitakiwa mashabiki zao wasingie kama walivyo tufanyia figisu kule kwao, mpira wa Africa ni fitina tu
 
Simba timu yangu ila katika ili wameniangusha sana na lile la kaduguda mpra wa tz sio wa kutaja kias alichopewa mchezaj au kununuliwa timu zetu iz majungu meng wachezaj kwa kwa wachezaj ,na ilo la kuwazuia watu wasije katika mechi yenu pia ni ujinga njia ya kukataa kuzomewa ni kufanya vizur
 
Simba timu yangu ila katika ili wameniangusha sana na lile la kaduguda mpra wa tz sio wa kutaja kias alichopewa mchezaj au kununuliwa timu zetu iz majungu meng wachezaj kwa kwa wachezaj ,na ilo la kuwazuia watu wasije katika mechi yenu pia ni ujinga njia ya kukataa kuzomewa ni kufanya vizur
Mo amekanusha kuna kodi za serikali ila jamaa alifikiri kuongea vile ni sifa
 
Back
Top Bottom