Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua mpira lakini?Wewe ni utopolo haswaa huoni kawabeba tukio la mwamnyeto ilikuwa penat
Yanga wameharibu mchezo kwa kutengeneza vitisho kwa refa kabla ya mchezo
Game ina fika kwenye matuta hii, afe ng'ombe afe mmasai.Dk ya 50 shikalo anapoteza muda scoreline 0-0, hatari sana
We usie butua mbona haufungi?Yanga naona wanabutua tu
Ile ni penat bakari hakugusa mpiraUnajua mpira lakini?
Huna timu ya kuifunga Yanga.Yanga hata wakipigwa washapata kitu cha kujitetea. Lawama zitaanza kwa refa kisha kwa tff. Tonombe pamoja na kumpiga aure biy hatalaumiwa.
Jumba bovu wanaangushiwa refarii na tff.[emoji16][emoji16]
Mugaluuu hovyoHii mechi Simba inabidi afungwe,upuuzi wanafanya
Au wachezaji wa simba wana mgomo?Hii mechi Simba inabidi afungwe,upuuzi wanafanya