Simba Vs Yanga (1-0) | Shirikisho | Lake Tanganyika. Simba yatwaa ubingwa ASFC

Kampiga Bocco kiwiko kwa makusudi kabisaa
 
Maajabu, refa kaionaje hii?? Nilitaka shangaa tonombe awepo uwanjani. Chama awe miangalifu ana kadi ya njano refa anaweza sawazisha ingawa hii ya tonombe amestahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…