buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 4,678
- 11,357
Nyie mnaoangalia Ligi kuu Marefa walianza lini kuvuruga.
Mimi nimezoea kimataifa. Yoyote inayoenda kimataifa ninayo iwe Simba au Yanga. Zikikutana Ligi kuu nafavor asiye na kelele kabla ya kukutana iwe simba au Yanga. Leo nipo Yanga.
Marefa walianza lini duh!
Mimi nimezoea kimataifa. Yoyote inayoenda kimataifa ninayo iwe Simba au Yanga. Zikikutana Ligi kuu nafavor asiye na kelele kabla ya kukutana iwe simba au Yanga. Leo nipo Yanga.
Marefa walianza lini duh!