Simba Vs Yanga (1-0) | Shirikisho | Lake Tanganyika. Simba yatwaa ubingwa ASFC

Simba Vs Yanga (1-0) | Shirikisho | Lake Tanganyika. Simba yatwaa ubingwa ASFC

Mpira tuliambiwa unaanza saa 10:00 ila umeanza na dk 3.
Tanzania hatujawahi kwenda na muda.
 
Kikosi cha yanga wap
1627218538235.png
 
Kiukweli hii pitch tumepigwa, hauipi timu nafasi kucheza mpira wa chini.
Inaweza ikawa advantage kwa Yanga kuliko simba inayopendelea mpira wa chini/pasi zaidi.
 
Back
Top Bottom