Simba Vs Yanga (1-0) | Shirikisho | Lake Tanganyika. Simba yatwaa ubingwa ASFC

Aiseeeh Mkoko kafanya uunyama sana kwa Bocco, nilikuwa anawaambia hapa wenzangu kuwa kama kungekuwa na VAR hiyo ilikuwa ni kadi nyekundu moja kea moja, kumbe refa nae tayari alikuwa ameona.
Alianza kwa Mugalu refa akapeta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…