Mama la Mama yake Mkoko,clear red card pumbavu haya yanachecha kama mchangani
Sengerem Sana huyu halaf anajifanya nae kaumia. Sasa kawa cost wenzake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama la Mama yake Mkoko,clear red card pumbavu haya yanachecha kama mchangani
Alisema red kwa Yanga na ushindi pia kwa Yanga.jamaa alitabiri kadi nyekundu kwa Yanga
Aiseeeh Mkoko kafanya uunyama sana kwa Bocco, nilikuwa nawaambia hapa wenzangu kuwa kama kungekuwa na VAR hiyo ilikuwa ni kadi nyekundu moja kwa moja, kumbe refa nae tayari alikuwa ameona.Kosa n nn
Tonombe hadi kajiumiza mwenyeweYanga wanatumia nguvu sana kama hakuna mashindano mengine duniani.
Halali kabisani halali sio halali?
Ila ni kadi nyekundu halali tena straightjamaa alitabiri kadi nyekundu kwa Yanga
😂😂😂umesema🙄🙄🙄Tulia dawa ikuingie
Alianza kwa Mugalu refa akapetaAiseeeh Mkoko kafanya uunyama sana kwa Bocco, nilikuwa anawaambia hapa wenzangu kuwa kama kungekuwa na VAR hiyo ilikuwa ni kadi nyekundu moja kea moja, kumbe refa nae tayari alikuwa ameona.
KabisaKwa refa huyu anavyochezesha, tutarajie kadi nyekundu pia kwa Simba
Wakwenu mmoja kashawekwa puuumbuSimba bado wagumu kubinua ta.ko wadungwe!
Nmeiona haina pingamizi👏👏👏Aiseeeh Mkoko kafanya uunyama sana kwa Bocco, nilikuwa anawaambia hapa wenzangu kuwa kama kungekuwa na VAR hiyo ilikuwa ni kadi nyekundu moja kea moja, kumbe refa nae tayari alikuwa ameona.
Wanalihitaji sana hilo kombe Ili waseme hawajabebwa kimataifa na SIMBA SC.😂Yanga wanatumia nguvu sana kama hakuna mashindano mengine duniani.
Nawaza Chama asipojiangalia anaeza pata Yellow ya pili akapigwa nje. Atoke aingie MorissonNionacho kuna kadi nyingine kwa simba, refa gemu kama haielewi
Alianza kwa mugalu refa akapeta