kilyabanu mkono
Member
- Oct 4, 2019
- 48
- 65
Sijamaliza hata dak 2 nimemtabilia kadi Mukoko kutokana amekuwa katika mchezo wa panicNmeiona haina pingamizi[emoji122][emoji122][emoji122]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijamaliza hata dak 2 nimemtabilia kadi Mukoko kutokana amekuwa katika mchezo wa panicNmeiona haina pingamizi[emoji122][emoji122][emoji122]
Kabisa na hajacheza vizuri angetolewa kuepuka kadiNawaza Chama asipojiangalia anaeza pata Yellow ya pili akapigwa nje. Atoke aingie Morisson
Mukoko ni kama alimpania boko kwenye mechi hii kutokana na undava aliofanyia kwenye mechi iliyopoAiseeeh Mkoko kafanya uunyama sana kwa Bocco, nilikuwa anawaambia hapa wenzangu kuwa kama kungekuwa na VAR hiyo ilikuwa ni kadi nyekundu moja kea moja, kumbe refa nae tayari alikuwa ameona.
Yanga wakifungwa watasema Simba kabebwa. Wana lawama sana kama mtoto wa kambo.
Yanga wanajua sana fitina, wamemtisha tefa na sasa anachezesha kwa woga na filimbi nyingi dhidi ya simbaYanga wameharibu mchezo kwa kutengeneza vitisho kwa refa kabla ya mchezo
Hawa wetu kabisa hawa wanakufa mapema tuuTunawaua hawa tulieni
Acha walalamike tu, chamsimgi ni kuhakikisha hawapati kombe lolote la maana huu msimu.Yanga wakifungwa watasema Simba kabebwa. Wana lawama sana kama mtoto wa kambo.
Huyu mukoko kacheza rough nyingi sana kwa boko na refa alikua anamlia buyu tu, now kazidisha to the fullest amepewa alichokua anakitafutaHawa wetu kabisa hawa wanakufa mapema tuu
Angepewa kadi gani zaidi ya nyekundu?Mukoko kastahili kabisa kupigwa umeme
Mmecheza faulo ndani ya 18 mmepotezewa penati, Tulieni tuwachome vidole.Huyo refa katika michezo yote ya Simba aliyo chezasha Simba aliibuka mshindi, so sishangai kwa nini Yanga tulimkataa.
Huyo Refa ni chokostiki, Keyvant ya bimkubwa wake.
Umehama simba lini??? We si mkia lialia тo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mnyama lazima apakuliwe tena leo
Kwa udhamini wa Refa, wenda ukafika dakika 90.[emoji23][emoji23][emoji23]umesema[emoji849][emoji849][emoji849]
Sasa ndo afanye kijinga vile? Yani anafanya faulo ambayo hakuhusiani kabisa na mpira, yaani kiwiko?Mukoko ni kama alimpania boko kwenye mechi hii kutokana na undava aliofanyia kwenye mechi iliyopo