Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Hahaha.Mpo bze Kureport, mnapata wapi muda wa kutazama mechi...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha.Mpo bze Kureport, mnapata wapi muda wa kutazama mechi...?
**** wewe
Kwangu huku wastaarabu kidogo, wameamua kuondoka kimya kimyaKibanda umiza huku pamechafuka,mashabiki wa Uto wameng'ng'nia tv wanataka kusepa nayo wanamsimbazi tumekaza.
Hujui sababu?!muulize MakokoDuuu Mungu atuone tu leo hii misimba inatuzidia leo sijui kwa nini
Hazifungi timu kubwa ila anamchango katika ushindi dhidi ya mechi kubwaMugalu anazifunga timu ndogo tu, sio kwa Yanga.
Wengine washazima sim tayariKwangu huku wastaarabu kidogo, wameamua kuondoka kimya kimya
MultitaskingMpo bze Kureport, mnapata wapi muda wa kutazama mechi...?
Nitarudi vipi wakati waziri wa feza amekomaa na tozo?Nje ya mada. Kiongozi bado upo Nan hupo au usheludi bongo?
Vyovyote watakavyofanya ila leo Utopolo lazima watakaa tu.Kwangu huku wastaarabu kidogo, wameamua kuondoka kimya kimya
Anaujutiia huo muda sasaDk ya 50 shikalo anapoteza muda scoreline 0-0, hatari sana
Pole mwanachura**** wewe