Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Hawa wajinga ndio huwa wanaingiaga viwanjani saa nne asubuhi katika mechi inayochezwa saa moja usikuMods futeni huu Uzi. Haiwezekani sahivi saa 11 jioni jumatano tunawekewa live updates za game itakayochezwa kesho alhamis saa 1 usiku. Hata updates zitakuwa unrealistic. Wekeni kanuni walau nyuzi kama hizi zifunguliwe 6 hrs before game time.