Simba vs Yanga Okt 16, 2010

Simba vs Yanga Okt 16, 2010

Habari zilizonifikia punde toka kwa jamaa zangu waliopo mkoani Singida ni kwamba timu ya Simba sc ambayo leo inategemea kupambana na wapinzani wao wa jadi Yanga,imepata mkosi mara baada ya gari lao walilotumia kusafiria toka Manyoni walikopiga kambi ya siku moja kuharibika.Ikabidi juhudi zifanywe na mbunge wa Singida mjini Mohamed Dewji na kuweza kupata usafiri mwingine wa costa iliyoandikwa CHAMI TRANS inayomilikiwa na Dr.Cyril CHAMI ambayo hufanya safari za DODOMA SINGIDA na kuwawezesha kuondoka majira ya saa 2 asubuhi hii.Na taarifa niliyoipata hivi sasa tayari wameshaingia IGUNGA wakiitafuta NZEGA.
Kwa mujibu wa mtoa ripoti wetu,timu ya Simba walikuwa Manyoni kufuatia kamati ya ufundi kubaini kuwa mambo yalikuwa hayajakamilika nje ya uwanja.


Kama huna uhakika na source pls dont post....simba wako mza hapa toka juzi ... Kuwa na jamaa ambao una waamini katika habari mambo haya ya kudanganya umma...hayata kusaidia...this post is not helfull at all Mods delete.
 
siungesema chami trans tu..kwani lazima useme ni gari ya mbunge sijui waziri chami?khaaa
 
mh jana nilikuwa pale Ladson nikawaona hao jamaa mmh! Au mnasema washabiki
 
mashabiki wameshaingia uwanjani naam akina simba hao jioneeni mambo

66553_1535377076354_1592647395_1275629_4274776_n.jpg
 
Kwahiyo huyu ni nani? We kweli mtu wa pwani huku nyuma kwa nini?
 
Kwa wale wanaongalia hiyo mecho watupe list ya wachezaji kwanza
 
naam naendelea kukupeni habari

sasa kipenzi cha Chadema nakaaya( au Nkaaya naye yumo kwenye uwanja

nakaya.jpg




na uwanja washabiki wa simba na yanga wako kama hivi


nsimba 1.jpg


ila sijui nani leo atalala

naamini CCM yaani yanga ndio washindi leo
 
Jamani TBC1 hawaonyesha maana huku kwetu tena Dar local channels hazishiki kabisa, mie local huwa natazama TBC1 through DSTV otherwise itabidi niende kwenye baa mbali kidogo nahuku nikacheki mtanange huu laini kwa watoto wa Jangwani kumchapa mnyama asiye na meno 3-1
sawa Pweza
 
haya vikosi viko kama hivi

Simba:
Juma Kaseja, Shamte, Maftah, Juma Mrisho, Owino, Rashid Jumbe, Chesa, Emmanuel Othman, Okwi, Ochang, Kiemba

Yanga;

Yew Berko, Nsajigwa, Masika, Albert, Kanavaro, Ernest, Chuji, Ali Kassim, Tegete, Nsa Job, Noordin Bakari
 
mi naona Startv wako vizuri kuliko tv station yoyote hapa Tanzania yaani (ITV,TBC na STARTV) na swala la kutokuonyesha baadhi ya mechi za Uingereza ni swala la kimikataba sidhani kama wamepewa haki ya kuonyesha mechi zote..
kulingana na maelezo yako ufafanuzi kidogo hapo kwenye red na blue
 
Emmanuel Othman ndo nani tena huyo? Kweli Simba leo kikosi hiki kipo hatarini
 
Watanzania wana penda mpira wa miguu.. Kaseja,shamte,mafuta,Nyoso,Owino,santo,kiemba,okwi,Echesa,gumbo, ochan
simba wamekosa nafsi mbili za wazi
 
Back
Top Bottom