kwanye ucaguzi hapana nyie ccm ni :A S 103::A S 103::A S 103::A S 103::A S 103::A S 103::A S 103: usijikaze tu hahaaaa
mtu anaheshimika sana kwa kuongea ukweli
hahaaaa unajua pwani inaanzia charinze heeeee pengine kafanana na jeykeyihii mechi kwa kweli simba kama watapoteza itabidi wajilaumu wenyewe tu ila kiukweli simba waliwashika sana yanga na first half wamepoteza nafasi nyingi mno
huyu mtu wa pwani ni mwongo, mwongo mwongo kama viongozi wa CCM
furaha yangu leo hata sijui nisemeje
mwaka huu mnyama anaramba mchanga mara zote
hii mechi kwa kweli simba kama watapoteza itabidi wajilaumu wenyewe tu ila kiukweli simba waliwashika sana yanga na first half wamepoteza nafasi nyingi mno
huyu mtu wa pwani ni mwongo, mwongo mwongo kama viongozi wa CCM
mshaanza ulozi wenu.Sina imani na Rage kama vipi aachie timu
mshaanza ulozi wenu.
kama kwenye siasa mngekuwa hivyo naamini tusingekuwa na mafisadi.
kama tumefungwa tukubali kwamba game haikuwa yetu leo ingawa tuliwashika kinoma babake
kweshnei mkutano mwambani
hizo nisalam tu
hii mechi kwa kweli simba kama watapoteza itabidi wajilaumu wenyewe tu ila kiukweli simba waliwashika sana yanga na first half wamepoteza nafasi nyingi mno
huyu mtu wa pwani ni mwongo, mwongo mwongo kama viongozi wa CCM